Kufunga PM ni uoga na kutokujiamini.

Kufunga PM ni uoga na kutokujiamini.

Nina wasiwasi wapo mademu wamefunga PM sasa imewaudhi wengi sana. Hata hivyo wengine sio kwamba wanasumbuliwa au nini wanaamua tu kufunga PM ili nao waonekane wanafunga eti kukwepa kusumbuliwa,
Habarini wana JF.

Poleni na majukumu makubwa ya kujenga taifa, nina suala nataka niwasilishe kwenu japo ni suala la mtu binafsi.

Neno langu siyo sheria hivyo sina maana kwamba nataka watu wabadili faragha zao lah! Nataka kuwasilisha kulingana na maono yangu.

Baadhi yetu tumepiga kufuli kwenye akaunti zetu humu ndani kila mmoja akiwa na sababu zake za msingi na anazojua yeye mwenyewe kwanini afanye hivyo. Ila nikiwa nimetulia nimewaza na kuona huu ni uoga na kutokujiamini kwa mtu. PM unaweza kupokea taarifa kutoka kwa mtu na siyo lazima ujibu ila anaweza kusoma alichoandikiwa.

Sasa baada ya kutafakari kwa kina nimeona sina haja ya kufanya hivyo kwani nina option mbili (kujibu au kutokujibu).

Neno langu siyo sheria.
 
Nina wasiwasi wapo mademu wamefunga PM sasa imewaudhi wengi sana. Hata hivyo wengine sio kwamba wanasumbuliwa au nini wanaamua tu kufunga PM ili nao waonekane wanafunga eti kukwepa kusumbuliwa,
Huwenda kwa wengine wenye tabia ya kufuatilia wanawake humu ila sijaona haja ya mtu kufanya hivyo kama anaamini ana uwezo wa kujisimamia.

Mwanzoni niliwahi kupokea PM kadhaa na ninazisoma na kufuta kwa sababu sioni haja ya kureply.

Suala la mademu kufunga PM zao na wao waonekane wanakwepa usumbufu wa kutumiwa meseji sijui kama ni kweli japo kila mmoja ana sababu zake za kufunga.
 
Hivi wanofunga pm ni wanawake tu?
Huwenda kwa wengine wenye tabia ya kufuatilia wanawake humu ila sijaona haja ya mtu kufanya hivyo kama anaamini ana uwezo wa kujisimamia.

Mwanzoni niliwahi kupokea PM kadhaa na ninazisoma na kufuta kwa sababu sioni haja ya kureply.

Suala la mademu kufunga PM zao na wao waonekane wanakwepa usumbufu wa kutumiwa meseji sijui kama ni kweli japo kila mmoja ana sababu zake za kufunga.
 
[emoji23][emoji23]uko kama mimi yaani sitaki ujinga
Nimefreeez last seen
Nmehide blue ticks
Nmehide second tick
Nmehide jina langu kuappear kwenye viewers list
Nmehide typing and recording VN
[emoji13]
 
Back
Top Bottom