Coolhigh
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 1,373
- 1,271
Hapana. Herufi R, inasimama kwenye Rim, size ya mduara wa chuma linaloshika mpira. Na hilo halibadiliki. 225, 205, n.k. huo ni upana wa mpira na 45, 55, 60, 70 nk ni ujazo wa kwenda juu.kiufundi tatizo lipo.
Tairi ya 225/70/R16 itakuwa na mduara mkubwa kidogo kuliko tairi ya 225/65/R16. Hii inaweza kuathiri usahihi wa spedomita na odomita ya gari. Kwa mfano, spedomita inaweza kuonyesha kasi ya chini kuliko kasi halisi ya gari.
Mduara mkubwa wa tairi unaweza kuathiri matumizi ya mafuta kwa kiasi fulani, kwani inahitaji nguvu zaidi kuzungusha tairi kubwa, hasa wakati wa kuanza mwendo.
etc
lakin kilegend badiri tu hamna noma sana. 😱 👨🔬