Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BASATA yani wanazima moto sufuria wanatoboa na kuni wanazimwagia maji ugali wanaumwaga mchangani na mboga wanampa mbwa.Ukipita kwenye mitandao unaona waziwazi inawafurahisha c kwa sababu kavunja maadili hapana..ni furaha tu kafungiwa...
Leo inasambaa barua ya basata kusisitiza kafungiwa furaha inazidi @ jamani tuache roho mbaya...y lakini ?
Ukiishi kwa upanga tegemea kufa kwa upanga! Maisha anayoishi ndiyo yanafanya kuwa na watu wenye chuki nyingi juu yake. Social Media ni platform nzuri na muhimu lakini ikitumiwa visivyo inaweza kuwa maangamizi ya maisha yako. Miaka ya nyuma Tanzania tuliwahi kuwa na wanamuziki maarufu lakini walikuwa wanapendwa kila kona... kwanini?Ukipita kwenye mitandao unaona waziwazi inawafurahisha c kwa sababu kavunja maadili hapana..ni furaha tu kafungiwa...
Leo inasambaa barua ya basata kusisitiza kafungiwa furaha inazidi @ jamani tuache roho mbaya...y lakini ?
Hebu orodhesha hayo mengi ambayo umejifunza kutoka kwake!Labda baadhi yao wanachuki ila mfano mimi namkubali sana na kwake kuna mengi yakujifunza sema kwa sasa hivi jamaa anazidisha baadhi ya Vitu atujafikia bado kuanza kuimba matus waziwazi na kuwatuna ovyo ovyo uo ni ukaid na ujeur ila bado tunajifunza pia ukifanikiwa usiwe hivyo........!
Mwangalie zaman alikua mtu humble sana ata kwenye interview zake ila mtazame sasa hiv n tofaut.
Mbona hukusema ile clip yake alivyofurahia wenzake kufungiwa tamasha? Mkuki kwa nguruwe sioUkipita kwenye mitandao unaona waziwazi inawafurahisha c kwa sababu kavunja maadili hapana..ni furaha tu kafungiwa...
Leo inasambaa barua ya basata kusisitiza kafungiwa furaha inazidi @ jamani tuache roho mbaya...y lakini ?
Kutoboa huendana na heshima. Sio kisa umetoboa ulete dharauWatu wengi wanapata hasira wanapoona MTU masikini kawa na uwezo Wa kimaisha au kuwa na mafanikio ..hawataki kukubali kama umetoboa
Hatutaki nyimbo zisizo na maadili tzUkipita kwenye mitandao unaona waziwazi inawafurahisha watu si kwa sababu kavunja maadili hapana. Ni furaha tu kafungiwa.
Leo inasambaa barua ya BASATA kusisitiza kafungiwa, furaha inazidi.
Jamani tuache roho mbaya.. kwanini lakini?
mkuu,Ukipita kwenye mitandao unaona waziwazi inawafurahisha watu si kwa sababu kavunja maadili hapana. Ni furaha tu kafungiwa.
Leo inasambaa barua ya BASATA kusisitiza kafungiwa, furaha inazidi.
Jamani tuache roho mbaya.. kwanini lakini?
Watu hawamchuki kwa sababu ya kufanikiwa kwake Bali kwa Tabia yakeUkipita kwenye mitandao unaona waziwazi inawafurahisha watu si kwa sababu kavunja maadili hapana. Ni furaha tu kafungiwa.
Leo inasambaa barua ya BASATA kusisitiza kafungiwa, furaha inazidi.
Jamani tuache roho mbaya.. kwanini lakini?
Diamond mbona yeye alifurahia fiesta kufungiwa...sababu zilizomfanya yeye afurahie fiesta kufungiwa ndo zimewafanya watu wafurahi yeye kufungiwaUkipita kwenye mitandao unaona waziwazi inawafurahisha watu si kwa sababu kavunja maadili hapana. Ni furaha tu kafungiwa.
Leo inasambaa barua ya BASATA kusisitiza kafungiwa, furaha inazidi.
Jamani tuache roho mbaya.. kwanini lakini?
Unajua mnamatatizo sana nyie...tatzo si kutoboa tatzo dharau ....na nyodo.....muelewe hapo ....nani akuchukie na Pesa zako ulizopata juzi....mbona masanja ana maisha mazuri sana lakin ikitokea kafungiwa sidhan kama watafurahi mashabiki........ishi na watu vizuri ili wakuone wa maana ...haohao ndo watakaokuadhibu...jibu lako kwamba anachukiwa kisa katoboa huo ni mtazamo hafifu kabisaWatu wengi wanapata hasira wanapoona MTU masikini kawa na uwezo Wa kimaisha au kuwa na mafanikio ..hawataki kukubali kama umetoboa
Ukipita kwenye mitandao unaona waziwazi inawafurahisha watu si kwa sababu kavunja maadili hapana. Ni furaha tu kafungiwa.
Leo inasambaa barua ya BASATA kusisitiza kafungiwa, furaha inazidi.
Jamani tuache roho mbaya.. kwanini lakini?