Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Taarifa kutoka Zanzibar imeeleza kwamba Shirikisho la Soka la Nchi hiyo limezuia matumizi ya Viwanja vya soka vya New Aman Complex na Gombani kwa kile kinachoitwa kupisha matengenezo.
Uwanja wa Aman umezinduliwa hivi karibuni ukiwa umekamilika, Sasa leo tunaambiwa unafungwa ili kupisha Matengenezo!
Lakini taarifa zingine zinaeleza kwamba, Jambo hilo limefanyika ili kukomesha Upuuzi wa Timu za Tanganyika kuutumia uwanja huo kwa masilahi ya kisiasa yenye lengo la kufifisha ligi ya Zanzibar inayosimamiwa na ZFF.
Nachukua nafasi hii kuipongeza ZFF kwa kulinda Rasilimali za Nchi yao na kuondoa Mamluki waliotaka kuzitumia kisiasa.
Jambo hili liwe funzo kwa Watanganyika, Watambue kwamba si kila Nchi ni Shamba la Bibi kama ilivyo Nchi yao.
Mungu Ibariki Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.
Uwanja wa Aman umezinduliwa hivi karibuni ukiwa umekamilika, Sasa leo tunaambiwa unafungwa ili kupisha Matengenezo!
Lakini taarifa zingine zinaeleza kwamba, Jambo hilo limefanyika ili kukomesha Upuuzi wa Timu za Tanganyika kuutumia uwanja huo kwa masilahi ya kisiasa yenye lengo la kufifisha ligi ya Zanzibar inayosimamiwa na ZFF.
Nachukua nafasi hii kuipongeza ZFF kwa kulinda Rasilimali za Nchi yao na kuondoa Mamluki waliotaka kuzitumia kisiasa.
Jambo hili liwe funzo kwa Watanganyika, Watambue kwamba si kila Nchi ni Shamba la Bibi kama ilivyo Nchi yao.
Mungu Ibariki Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.