Uchaguzi 2020 Kufungiwa mgombea kukampeni tumejifunza nini?

Uchaguzi 2020 Kufungiwa mgombea kukampeni tumejifunza nini?



Kumbe mnaangalia na kumfuatilia mgombea huyu kipenzi cha watu?

Very comfortable - kiingereza mnakipenda? Mpeni pole jiwe.

Unamwongelea Lissu je anakubaliana na huu utopolo wako mwenye shati mboga mboga?

Wewe ndiyo ulimpa adhabu ya siku 7?

Kwamba mburula huyu anataka kujilinganisha na Lissu? Si akagombee hata udiwani aione joto ya jiwe?
 
Kumbe mnaangalia na kumfuatilia mgombea huyu kipenzi cha watu?

Very comfortable - kiingereza mnakipenda? Mpeni pole jiwe.

Unamwongelea Lissu je anakubaliana na huu utopolo wako mwenye shati mboga mboga?

Wewe ndiyo ulimpa adhabu ya siku 7?

Kwamba mburula huyu anataka kujilinganisha na Lissu? Si akagombee hata udiwani some hiyo ya jiwe?
Ukiona mtu anakubeza jua anakufuatilia kila yunalofanya ajue wapi pa kutokea kesho. Leo mko kwenye English ya Magufuli anaunguruma leo. Kama kawaida kesho mtatafuta pa kukosoa.
 
Ukiona mtu anakubeza jua anakufuatilia kila yunalofanya ajue wapi pa kutokea kesho. Leo mko kwenye English ya Magufuli anaunguruma leo. Kama kawaida kesho mtatafuta pa kukosoa.

UTP proper.
 
Kwa uchochezi ule alipaswa afungiwe maisha kushiriki siasa sema kwa sasa ana immunity ya ugombea urais ila uchaguzi ukiisha akijichanganya atajuta .tunamsubilia nje ya uringo
Wewe ni fala tu....!!!
Iko siku mtakuja lipia huu ushenx wenu mnaowafanyia Watz wenzetu simply because siyo Wana wa Mafisccm ya Lumumba!!
Hivi CCM mna tofauti gani na MAKABURU wa enzi za Utawala wa Kibaguzi?
 
Back
Top Bottom