Arafat Bahdellah
Member
- Jan 15, 2013
- 77
- 27
muandishi anaonyesha kuwa biased. Honestly mi mwenyewe naona kama redio iman ingefungiwa zaman kwa kuchochea mgawano wa kiimani, na kuwafanya waislam waone kama wanakandamizwa hence udini. tukiachana na hayo maana sheria haikuona kama ni kosa mi naona ni sawa kuwafungia wote neema kwa uchochezi ambayo kisheria ni kosa, na imani kukiuka au kufanya watu wakiuke maagizo ya serikali( kugomea sensa nalo ni kosa).
Ila hili swala ukiread btwn the line..........................
Nashauri post zetu zizingatie udugu na amani tuliyo kuwa nayo kwa muda mrefu, tusitoe comments kwa chuki au hisia binafsi. Swala la kuifungia radio Iiman kwaajili ya sensa haliingii akilini, labda kama kuna sababu nyingine chini ya kapeti. Serikali ilitangaza swala la sensa kufanikiwa kwa asilimia mia (100%), zaidi ya hivyo; baadhi ya vipindi vya radio iiman vilikuwa vikichallenge takwimu zilizo tolewa kabla ya sensa hazikuwa sahihi na waislamu tukatoa mapendekezo yetu ya kuwepo kepengele cha dini katika dodoso la sensa ambazo kitafuta fikri na hisia mbaya zilizojengwa kutokana na takwili zilizotolewa awali na hazikukemewa na Serikali yetu, ukimya ambao mavuno yake ndio haya yote.
Ushauri wangu kwa wana JF na Serikali kwa ujumla; tunapotaka kutafuta sulhu katika jambo, tuzingatie chanzo cha tatizo na tusihukumu kwa kupima athari za tatizo, as according to my knowlege; we will always be wrong.
By knowing the source, we shall know course and by knowing the the course, we shall find the easy way to solve.
I don't support judgement basing on effects!