kizaytor
Member
- Nov 7, 2018
- 63
- 83
Habarini wakuu..! Poleni na mihangaiko, nilikua naombeni maoni ninahitaji kuanzisha biashara hapa morogoro. So kwa wenyeji wa mji huu nilitaka kujua biashara gani zipo vizur kwenye kutengeneza pesa regardless of the risk wala mtaji wake. Ahsanteni
Nakaribisha maoni
Nakaribisha maoni