Kufungua Juice Bar

Kufungua Juice Bar

Shebby Pallah

Member
Joined
May 1, 2017
Posts
29
Reaction score
17
Nahitaji kufungua Juice bar. Nipo mkoani, nina mtaji wa laki mbili, nina freezer na banda la biashara ninalo. Naomba ushauri na mbinu mbalimbali za kuendesha biashara hii. Juisi ni za natural fruit sio za viwandani.

Karibuni.
 
ukipata hela nunua kikabati cha Aluminium kama hili hapa chini

images.jpg


Then hilo kabati nunua vile viglass transparent vinavyoonyesha ndani vina nini then tengeneza juice ya sample

weka ndani ya hilo kabati kama sampo ili mteja aone unachouza kinafananaje

Then tengeneza juice zako sasa tofauti kadri mtaji wako utavyokuruhusu,weka kwenye vidumu vya litre 5

hifadhi ndani ya Fridge lako.

Najua nyumbani hukosi jiko la gesi,lichukue njoo nalo kazini nunua TREY 1 la mayai ya kienyei na Trey 1 lamayai ya kisasa

then weka ndani ya kabati...Mteja akija kununua Juice muulize "utapenda juice peke ake au na mayai"??

Akikujibu juice peke ake mpe

Akikujibu na mayai vizuri changamka gonga mayai mawili atayochagua,kwenye gesi dk2 yai limeiva unamuuzia

Utapiga hela sana sana

Hakikisha una ka redio kadogo muda wote ofisini piga slow music

Hakikisha ofisi yako ni safi hadi inzi waiogope maana unafanya biashara Rafiki kwa wadudu.

Hakikisha una T.shirt Nyeupe na iwe ndio nguo yako ya kazini,chini vaa vyovyote

Usisahau tissue kila meza.

USAFI
USAFI
USAFI
USAFI

jiongeze kila uonapo kitu wateja wanaulizia kama una afford "WEKA"
 
Hakikisha unakuwa na formula kwa kila juisi utayotengeneza, ili juisi utayotengeneza leo iwe sawa na utayotengeneza mwaka mmoja baadaye...(andaa recipe)

Jiandae kuuza kwa faida ndogo ili mzunguko uwe mkubwa

Weka banda lako karibu na maeneo yenye mishughuliko mingi, si mbaya pia ikiwa karibu na shule au maofisi
 
Hakikisha unakuwa na formula kwa kila juisi utayotengeneza, ili juisi utayotengeneza leo iwe sawa na utayotengeneza mwaka mmoja baadaye...(andaa recipe)

Jiandae kuuza kwa faida ndogo ili mzunguko uwe mkubwa

Weka banda lako karibu na maeneo yenye mishughuliko mingi, si mbaya pia ikiwa karibu na shule au maofisi
Siamini kama comment hii haijapata "like" za kutosha!!
 
Mimi nilikuwa napeleka canteen ya shule namkabidhi mama mwenye mgahawa anaweka kwa friji, mafumu ya lita 5.
Kila dumu namp buku 2 au buku jero.
Pia nikawa na vijana nawapa wanatembeza wanaweka kwenye chupa au take away glasses.Biashara hii ni nzuri ina faida sana niliacha baada ya kuhama eneo la shule
Ulitumia mbinu gabi
 
ukipata hela nunua kikabati cha Aluminium kama hili hapa chini

View attachment 1255475

Then hilo kabati nunua vile viglass transparent vinavyoonyesha ndani vina nini then tengeneza juice ya sample

weka ndani ya hilo kabati kama sampo ili mteja aone unachouza kinafananaje

Then tengeneza juice zako sasa tofauti kadri mtaji wako utavyokuruhusu,weka kwenye vidumu vya litre 5

hifadhi ndani ya Fridge lako.

Najua nyumbani hukosi jiko la gesi,lichukue njoo nalo kazini nunua TREY 1 la mayai ya kienyei na Trey 1 lamayai ya kisasa

then weka ndani ya kabati...Mteja akija kununua Juice muulize "utapenda juice peke ake au na mayai"??

Akikujibu juice peke ake mpe

Akikujibu na mayai vizuri changamka gonga mayai mawili atayochagua,kwenye gesi dk2 yai limeiva unamuuzia

Utapiga hela sana sana

Hakikisha una ka redio kadogo muda wote ofisini piga slow music

Hakikisha ofisi yako ni safi hadi inzi waiogope maana unafanya biashara Rafiki kwa wadudu.

Hakikisha una T.shirt Nyeupe na iwe ndio nguo yako ya kazini,chini vaa vyovyote

Usisahau tissue kila meza.

USAFI
USAFI
USAFI
USAFI

jiongeze kila uonapo kitu wateja wanaulizia kama una afford "WEKA"
[emoji817]
 
na hili jua lilivyochachamaa vinywaji baridi ndo vinauzika sana.
 
Back
Top Bottom