Kufungua tawi la chadema udom

alieanzisha mada hii ni miradi bubu

miradi hiii ina mambo ......
 
Very brilliant. Naombeni tu msijifunze ufisadi kwenye kuuza vyumba na vitanda kwa bei za juu kwa wanafunzi wenzenu kama ilivyo pale mlimani na vyuo vingine vya dar!
Suala la vyumba bado halijawa tatizo kubwa sana hapa udom labda kwa vijana wa kifiosadi wenyewe kujipendekeza kwa mawarden ili wapingiwe maeneo wanayoyataka wao, tofauti na hapo hautasikia mtu amekosa chumba labda usikie mtu amepangiwa bweni asilolitaka mwenyewe
 
Kweli sasa wana udom mnaonekana kukomaa nafahamu kwamba siasa haziruhusiwi mazingira ya chuoni lakini nje ya chuo ni ruksa so i hope there will be no any stambling block in your endeavour kwa sababu ccm wana matawi karibu vyuo vyote na nakumbuka jk miaka ya hivi karibuni alizindua tawi la ccm chuo cha mzumbe. Mimi niko mitaa ya kati dodoma ntaomba mnipe kazi ya ukatibu mwenezi wa tawi na ntaifanya kazi hiyo kwa moyo wa kujitolea zaidi ili kukikuza chama... Ushauri mwingine naomba baada ya tawi hilo kufunguliwa juhudi zifanyike kuunda umoja wa wanachama wa cha chadema wa vyuo vya elimu ya juu mkoa wa dodoma ukijumuisha vyuo vya udom, st. John, mipango, cbe, madini na vingine kikiwemo chuo kipya cha loyola kinachojengwa eneo la nzuguni nje kidogo na manispaa ya dodoma. Lengo ni kuhakikisha mwaka 2015 tunaizika CCM rasmi.
 
Kweli sasa wana udom mnaonekana kukomaa nafahamu kwamba siasa haziruhusiwi mazingira ya chuoni lakini nje ya chuo ni ruksa so i hope there will be no any stambling block in your endeavour kwa sababu ccm wana matawi karibu vyuo vyote na nakumbuka jk miaka ya hivi karibuni alizindua tawi la ccm chuo cha mzumbe. Mimi niko mitaa ya kati dodoma ntaomba mnipe kazi ya ukatibu mwenezi wa tawi na ntaifanya kazi hiyo kwa moyo wa kujitolea zaidi ili kukikuza chama... Ushauri mwingine naomba baada ya tawi hilo kufunguliwa juhudi zifanyike kuunda umoja wa wanachama wa cha chadema wa vyuo vya elimu ya juu mkoa wa dodoma ukijumuisha vyuo vya udom, st. John, mipango, cbe, madini na vingine kikiwemo chuo kipya cha loyola kinachojengwa eneo la nzuguni nje kidogo na manispaa ya dodoma. Lengo ni kuhakikisha mwaka 2015 tunaizika CCM rasmi.
 
Kweli sasa wana udom mnaonekana kukomaa nafahamu kwamba siasa haziruhusiwi mazingira ya chuoni lakini nje ya chuo ni ruksa so i hope there will be no any stambling block in your endeavour kwa sababu ccm wana matawi karibu vyuo vyote na nakumbuka jk miaka ya hivi karibuni alizindua tawi la ccm chuo cha mzumbe. Mimi niko mitaa ya kati dodoma ntaomba mnipe kazi ya ukatibu mwenezi wa tawi na ntaifanya kazi hiyo kwa moyo wa kujitolea zaidi ili kukikuza chama... Ushauri mwingine naomba baada ya tawi hilo kufunguliwa juhudi zifanyike kuunda umoja wa wanachama wa cha chadema wa vyuo vya elimu ya juu mkoa wa dodoma ukijumuisha vyuo vya udom, st. John, mipango, cbe, madini na vingine kikiwemo chuo kipya cha loyola kinachojengwa eneo la nzuguni nje kidogo na manispaa ya dodoma. Lengo ni kuhakikisha mwaka 2015 tunaizika CCM rasmi.
 
Kweli sasa wana udom mnaonekana kukomaa nafahamu kwamba siasa haziruhusiwi mazingira ya chuoni lakini nje ya chuo ni ruksa so i hope there will be no any stambling block in your endeavour kwa sababu ccm wana matawi karibu vyuo vyote na nakumbuka jk miaka ya hivi karibuni alizindua tawi la ccm chuo cha mzumbe. Mimi niko mitaa ya kati dodoma ntaomba mnipe kazi ya ukatibu mwenezi wa tawi na ntaifanya kazi hiyo kwa moyo wa kujitolea zaidi ili kukikuza chama... Ushauri mwingine naomba baada ya tawi hilo kufunguliwa juhudi zifanyike kuunda umoja wa wanachama wa cha chadema wa vyuo vya elimu ya juu mkoa wa dodoma ukijumuisha vyuo vya udom, st. John, mipango, cbe, madini na vingine kikiwemo chuo kipya cha loyola kinachojengwa eneo la ihumwa nje kidogo na manispaa ya dodoma. Lengo ni kuhakikisha mwaka 2015 tunaizika CCM rasmi.
 
Kweli sasa wana udom mnaonekana kukomaa nafahamu kwamba siasa haziruhusiwi mazingira ya chuoni lakini nje ya chuo ni ruksa so i hope there will be no any stambling block in your endeavour kwa sababu ccm wana matawi karibu vyuo vyote na nakumbuka jk miaka ya hivi karibuni alizindua tawi la ccm chuo cha mzumbe. Mimi niko mitaa ya kati dodoma ntaomba mnipe kazi ya ukatibu mwenezi wa tawi na ntaifanya kazi hiyo kwa moyo wa kujitolea zaidi ili kukikuza chama... Ushauri mwingine naomba baada ya tawi hilo kufunguliwa juhudi zifanyike kuunda umoja wa wanachama wa cha chadema wa vyuo vya elimu ya juu mkoa wa dodoma ukijumuisha vyuo vya udom, st. John, mipango, cbe, madini na vingine kikiwemo chuo kipya cha loyola kinachojengwa eneo la ihumwa nje kidogo na manispaa ya dodoma. Lengo ni kuhakikisha mwaka 2015 tunaizika CCM rasmi.
 
UDOM ni chuo kitakachozidi udsm kwa mbali.bad image ni kwa sababu ya propaganda za ccm.tatizo kubwa lipo udsm,ambako vijana wengi ni wanafiki,na kama walimu wao umaarufu wao umebaki wa kihirtoria zaidi.mimi nasoma hapo.hongerb udom onyesheni mfano
 
Wazo la kufungua tawi ni nzuri.

Lakini nina maswali kadhaa, umeandika tawi litafunguliwa hapo mjini, je hakuna tawi lingine hapa mjini? Je mmewashirikisha viongozi wa chama hapo dodoma? Kama tayari wao wanasemaje? Maana isitokea wao wanastrategy tofauti na za kwenu.

Ombi langu, naomba sana wasomi wa hapo dodoma muwe chachu ya mabadiliko hapa dodoma. Ccm wanafikiri dodoma ni mji wao kwa sasa. Zaidieni wananchi hapa ili wapate kujuia haki zao na jinsi gani ya kuzipata. Wajue jinsi viongozi wa serikali wanavyofanya kazi na pale ambapo hawafanya kazi kwa manufaa ya wananchi wawajibishwe.

Kila la heri
 
hata DUCE walizidiwa nguvu na kijana anaitwa LUDOVICK JOSEPH, hadi uongozi wa chuo ukaingilia kwa amri ya makamba wakamfuta asigombee.aliyefanikisha mradi huu haramu ni Dr. THEREZYA HUVISA, ambaye alikuwa dean of students,na aliahidiwa ubunge kupitia vyuo vikuu,na sasa amekuwa waziri wa mazingira.wameweka pandilizi la ccm duce na sasa wanafunzi wananyanyasika
 
Kweli sasa wana udom mnaonekana kukomaa nafahamu kwamba siasa haziruhusiwi mazingira ya chuoni lakini nje ya chuo ni ruksa so i hope there will be no any stambling block in your endeavour kwa sababu ccm wana matawi karibu vyuo vyote na nakumbuka jk miaka ya hivi karibuni alizindua tawi la ccm chuo cha mzumbe. Mimi niko mitaa ya kati dodoma ntaomba mnipe kazi ya ukatibu mwenezi wa tawi na ntaifanya kazi hiyo kwa moyo wa kujitolea zaidi ili kukikuza chama... Ushauri mwingine naomba baada ya tawi hilo kufunguliwa juhudi zifanyike kuunda umoja wa wanachama wa cha chadema wa vyuo vya elimu ya juu mkoa wa dodoma ukijumuisha vyuo vya udom, st. John, mipango, cbe, madini na vingine kikiwemo chuo kipya cha loyola kinachojengwa eneo la ihumwa nje kidogo na manispaa ya dodoma. Lengo ni kuhakikisha mwaka 2015 tunaizika CCM rasmi.
 
#

Vijana pigeni kazi mwanzo mzuri sana. kila la kheri!!!
 
Kweli sasa wana udom mnaonekana kukomaa nafahamu kwamba siasa haziruhusiwi mazingira ya chuoni lakini nje ya chuo ni ruksa so i hope there will be no any stambling block in your endeavour kwa sababu ccm wana matawi karibu vyuo vyote na nakumbuka jk miaka ya hivi karibuni alizindua tawi la ccm chuo cha mzumbe. Mimi niko mitaa ya kati dodoma ntaomba mnipe kazi ya ukatibu mwenezi wa tawi na ntaifanya kazi hiyo kwa moyo wa kujitolea zaidi ili kukikuza chama... Ushauri mwingine naomba baada ya tawi hilo kufunguliwa juhudi zifanyike kuunda umoja wa wanachama wa cha chadema wa vyuo vya elimu ya juu mkoa wa dodoma ukijumuisha vyuo vya udom, st. John, mipango, cbe, madini na vingine kikiwemo chuo kipya cha loyola kinachojengwa eneo la ihumwa nje kidogo na manispaa ya dodoma. Lengo ni kuhakikisha mwaka 2015 tunaizika CCM rasmi.
 
Ahsante sana miradibubu. Mimi ni mwalimu UDOM na ni mfuasi wa Chadema. Ningependa sana kujiunga kwa kuwa na kadi lkn naogopa maana uongozi wa wanajikomba sana kwa JK. Nisijetengwa. Wamekimbilia kumpa Degree na sasa wanajenga JK Square kama Nyerere Square. Tuko pamoja. Je tawi linaanzishwa na wanafunzi au wakufunzi?
Bigup and goodluck!!
 
Kweli sasa wana udom mnaonekana kukomaa nafahamu kwamba siasa haziruhusiwi mazingira ya chuoni lakini nje ya chuo ni ruksa so i hope there will be no any stambling block in your endeavour kwa sababu ccm wana matawi karibu vyuo vyote na nakumbuka jk miaka ya hivi karibuni alizindua tawi la ccm chuo cha mzumbe. Mimi niko mitaa ya kati dodoma ntaomba mnipe kazi ya ukatibu mwenezi wa tawi na ntaifanya kazi hiyo kwa moyo wa kujitolea zaidi ili kukikuza chama... Ushauri mwingine naomba baada ya tawi hilo kufunguliwa juhudi zifanyike kuunda umoja wa wanachama wa cha chadema wa vyuo vya elimu ya juu mkoa wa dodoma ukijumuisha vyuo vya udom, st. John, mipango, cbe, madini na vingine kikiwemo chuo kipya cha loyola kinachojengwa eneo la ihumwa nje kidogo na manispaa ya dodoma. Lengo ni kuhakikisha mwaka 2015 tunaizika CCM rasmi.
 
Kweli sasa wana udom mnaonekana kukomaa nafahamu kwamba siasa haziruhusiwi mazingira ya chuoni lakini nje ya chuo ni ruksa so i hope there will be no any stambling block in your endeavour kwa sababu ccm wana matawi karibu vyuo vyote na nakumbuka jk miaka ya hivi karibuni alizindua tawi la ccm chuo cha mzumbe. Mimi niko mitaa ya kati dodoma ntaomba mnipe kazi ya ukatibu mwenezi wa tawi na ntaifanya kazi hiyo kwa moyo wa kujitolea zaidi ili kukikuza chama... Ushauri mwingine naomba baada ya tawi hilo kufunguliwa juhudi zifanyike kuunda umoja wa wanachama wa cha chadema wa vyuo vya elimu ya juu mkoa wa dodoma ukijumuisha vyuo vya udom, st. John, mipango, cbe, madini na vingine kikiwemo chuo kipya cha loyola kinachojengwa eneo la ihumwa nje kidogo na manispaa ya dodoma. Lengo ni kuhakikisha mwaka 2015 tunaizika CCM rasmi.
 
Big up kazeni kamba vijana! Ila mjiandae kwa mikikimikiki ambayo inaweza
tokea kwenye serikali ya ccm. Vizingiti kibao na propaganda kibao! ila kazeni
buti tu. nguvu ya umma ipo pamoja na nyinyi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…