Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,887
Nawasaliamia wana JF wote kwa pamoja,
Sayari yetu imeishi sasa mda mrefu. Kuna viumbe vingi sana vilivyo kwenye hii dunia. Kuna theory mbali mbali za uwepo wa hii dunia. Kuna moja inahusika na kuwa dunia iliumbwa na mungu.
Na kunanyingine inaongelea kuwa dunia imetokana na big bang. Ilikuweza kusonga mbele na kujua ukweli ni hakika lazima kuwepo na theory mbali mbali halafu wanasayansi wanazitumia hizo theories kufanya researches na experiments.
Sitaki nichukue mda mrefu sana kuelezea hizi theory. Nitajikita katika kuongelea hiki kitu cha Kuangaziwa nuru na kufunguliwa. Wanadamu asilimia kubwa sana duniani wamefungwa na kongwa la kidini na kisiasa.
Na wamekuwa hawajui nini cha kufanya. Wanadamu wamekuwa hawapo tayari kujifunza na kujua kwanini wapo hivyo na kwanini wapo duniani. Wamefungwa na kifungo kikubwa sana na kuwafanya wawe vipofu wanaopapasa papasa.
Dini imekuwa ndio kifungo kikubwa sana. Na wanasiasa wamekuwa wakikitumia kifungo hicho kuwateka na kuwafanya mateka. Lakini kwa pamoja tukijua kweli na kusimama kwa pamoja. Dunia itakuwa sehemu salama ya kuishi binadamu wote.
Mashindano, tamaa, woga wa kesho umewafanya watu kuwa na roho mbaya sana. Wapo tayari kufanya machafuko kwa manufaa yao, wapo tayari kuua kwa manufaa yao. Hawa sikilizi mtu na wala hawana mda wa kujari.
Ni wakati sasa wa kusimama pamoja na kujua sisi ni nani. Wanadamu sio watumwa, wanadamu sio wajinga, wanadamu sio dhaifu. Sisi ni roho inayoishi milele. Sisi ni waumbaji, Si tuna nguvu kubwa.
Wanajua kuwa Binadamu tunanguvu kubwa sana, na hawataki tujue hivyo. Wanataka tuwe mateka miaka yote. Wameifungia dunia ili pasiwepo na anayeweza kujua kuwa yeye anauwezo.
Lengo lao ni kuangamiza watu wote kwa manufaa yao.Tunauwezo wa kubadili, na tunauwezo wa kusimama na kuipigania sayari yetu. Ndugu usidhani katika ulimwengu huu upo pekee yako.
Kuna viumbe wengi tu kutoka kwenye Sayari zingine. Wapo na wanauwezo mkumbwa sana. Technolojia yao ipo juu sana. Sisi Human Kind tuna uwezo wa kuilinda sayari yetu.
Wamepandikiza DNA zao kwa watu. Watu wawe na roho mbaya. Human kind asili ya ni Upendo na furaha. Tunatakiwa kurejesha upendo. GOD IS LOVE. Tukipendana wote bila kujali siasa, dini, rangi nk. Tutakuwa na uungu.
Sisi ni MUNGU. Lazima tukumbuke wapi tumejikwaa, na tusimame kwa pamoja. Sisi ni kitu kimoja hakuna wa aliyetofauti na mwingine. Tunafanya kazi moja ya kujenga sayari.
Tuanze kubadilisha mitazamo yetu, tusimame kwa miguu yetu, tuungane, upendo ndio kila kitu.
Sayari yetu imeishi sasa mda mrefu. Kuna viumbe vingi sana vilivyo kwenye hii dunia. Kuna theory mbali mbali za uwepo wa hii dunia. Kuna moja inahusika na kuwa dunia iliumbwa na mungu.
Na kunanyingine inaongelea kuwa dunia imetokana na big bang. Ilikuweza kusonga mbele na kujua ukweli ni hakika lazima kuwepo na theory mbali mbali halafu wanasayansi wanazitumia hizo theories kufanya researches na experiments.
Sitaki nichukue mda mrefu sana kuelezea hizi theory. Nitajikita katika kuongelea hiki kitu cha Kuangaziwa nuru na kufunguliwa. Wanadamu asilimia kubwa sana duniani wamefungwa na kongwa la kidini na kisiasa.
Na wamekuwa hawajui nini cha kufanya. Wanadamu wamekuwa hawapo tayari kujifunza na kujua kwanini wapo hivyo na kwanini wapo duniani. Wamefungwa na kifungo kikubwa sana na kuwafanya wawe vipofu wanaopapasa papasa.
Dini imekuwa ndio kifungo kikubwa sana. Na wanasiasa wamekuwa wakikitumia kifungo hicho kuwateka na kuwafanya mateka. Lakini kwa pamoja tukijua kweli na kusimama kwa pamoja. Dunia itakuwa sehemu salama ya kuishi binadamu wote.
Mashindano, tamaa, woga wa kesho umewafanya watu kuwa na roho mbaya sana. Wapo tayari kufanya machafuko kwa manufaa yao, wapo tayari kuua kwa manufaa yao. Hawa sikilizi mtu na wala hawana mda wa kujari.
Ni wakati sasa wa kusimama pamoja na kujua sisi ni nani. Wanadamu sio watumwa, wanadamu sio wajinga, wanadamu sio dhaifu. Sisi ni roho inayoishi milele. Sisi ni waumbaji, Si tuna nguvu kubwa.
Wanajua kuwa Binadamu tunanguvu kubwa sana, na hawataki tujue hivyo. Wanataka tuwe mateka miaka yote. Wameifungia dunia ili pasiwepo na anayeweza kujua kuwa yeye anauwezo.
Lengo lao ni kuangamiza watu wote kwa manufaa yao.Tunauwezo wa kubadili, na tunauwezo wa kusimama na kuipigania sayari yetu. Ndugu usidhani katika ulimwengu huu upo pekee yako.
Kuna viumbe wengi tu kutoka kwenye Sayari zingine. Wapo na wanauwezo mkumbwa sana. Technolojia yao ipo juu sana. Sisi Human Kind tuna uwezo wa kuilinda sayari yetu.
Wamepandikiza DNA zao kwa watu. Watu wawe na roho mbaya. Human kind asili ya ni Upendo na furaha. Tunatakiwa kurejesha upendo. GOD IS LOVE. Tukipendana wote bila kujali siasa, dini, rangi nk. Tutakuwa na uungu.
Sisi ni MUNGU. Lazima tukumbuke wapi tumejikwaa, na tusimame kwa pamoja. Sisi ni kitu kimoja hakuna wa aliyetofauti na mwingine. Tunafanya kazi moja ya kujenga sayari.
Tuanze kubadilisha mitazamo yetu, tusimame kwa miguu yetu, tuungane, upendo ndio kila kitu.