Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,887
- Thread starter
- #41
Siwezi kuendelea kubishana na wewe. Kwanza huna evidence kuhusu unacho kiongea. Huna uhakika wa uwepo wa mungu wa kuabudiwa, huna uhakika wa uwepo wa shetani; zaidi ya kufuata mafundisho uliyo anza kufundishwa tangu utotoni. Kuhusu maadili wa binadamu naomba usome Atlantis. kwa kukusaidia.Wewe ni wa Kupuuzwa Unaabudu ushetani.
Wewe ni uzao wa Shetani mpinga ubinadamu na maadili yake.