Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Wakati Taifa Stars ikikata tiketi ya kushiriki Mashindano ya Mataifa ya Afrika na Simba kuingia Robo fainali ya Klabu Bingwa Afrika, CCM ilijinasibu kwamba hayo yametokea kwa kuwa ni utekelezaji wa Ilani ya chama chao na ubora wa utawala wa Rais wa Tano John Pombe Magufuli.
Sasa timu ya Simba imefungwa na TP Mazembe kwenye mchezo wao wa Marudiano kule Lubumbashi. Jee kipigo cha Simba nacho ni katika kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM?
Kama CCM ilihusika kwenye mafanikio ya Simba ni kwa nini isihusike pia kwenye kushindwa kwao?
Sasa timu ya Simba imefungwa na TP Mazembe kwenye mchezo wao wa Marudiano kule Lubumbashi. Jee kipigo cha Simba nacho ni katika kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM?
Kama CCM ilihusika kwenye mafanikio ya Simba ni kwa nini isihusike pia kwenye kushindwa kwao?