Tango73
JF-Expert Member
- Dec 14, 2008
- 2,180
- 1,291
Kufungwa na simba mechi ilopita ilikuwa ni blessing in diguise. Yanga baada ya kufungwa mechi hiyo na watani wake wa jadi kocha alichambua udhaifu wa timu kiufundi kuanzia idara ya ulinzi, midifida mpaka washambuliaji.
Kwa Utaalamu huo wa kusoma ufundi wa timu, kocha kainoa timu kimbinu bora sana za kujilinda na kushambulia mpaka kuwezesha kuifunga timu ya river united uganini.
Hivyo kufungwa na simba kulikuwa ni kupewa kioo cha kujitazama makosa yetu kiufundi ili kocha ajue aboreshe idara zipi na jinsi ya kucheza kupata ushindi.
Hongera sana yanga kwa ushindi wa leo. Hongera sana benchi la ufundi.
Kwa Utaalamu huo wa kusoma ufundi wa timu, kocha kainoa timu kimbinu bora sana za kujilinda na kushambulia mpaka kuwezesha kuifunga timu ya river united uganini.
Hivyo kufungwa na simba kulikuwa ni kupewa kioo cha kujitazama makosa yetu kiufundi ili kocha ajue aboreshe idara zipi na jinsi ya kucheza kupata ushindi.
Hongera sana yanga kwa ushindi wa leo. Hongera sana benchi la ufundi.