Kufuru michango ya harusi ya Dida, mazito yaibuka...

Kufuru michango ya harusi ya Dida, mazito yaibuka...

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Mmh! Shoga kidawa Aunty Ezekiel kwenye mitandao ya kijamii kasema ametoa mchango million nne kumbe katoa laki mbili, Uwoya nae alitangaza kalipa mil 8 kumbe laki tano, hawa wanapenda sifa hela hawana, na hapo bado Domo atasema anatoa mil 100.

IMG_2526.jpg
 
Umaarufu wa majina ya wachangiaji na kiasi walichoahidi inaonyesha hali halisi ya kiuchumi ya watu, hali ni mbaya tumuombee Mama katika kurejesha mambo na kurekebisha uchumi wetu ulioporomoka

Dida nae ndo nini kuwaanika wenzao namna hiyo wakat wametuambia wamechanga million 8[emoji23][emoji23], Dida sio mtu mzuri akiii, kama namuona Irene alivyochunda uso kwa kumbuka mxieew kujifanya ana hela wakati anakaa nyumba ya kupanga
 
Hilo nalo lakuuliza sasa wewe mwangalie mashavu yalivomdondoka na hapo ujumlishe na makeup za kila saa maana Dida anapiga kutwa mara tatu makeup

Binamu Dida atakua kakuibia mume sio kwa vichambo hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... shoga make ups kutwa mara tatu na zinadunda, anaonekana kama zile poda wanazopakwa maiti, Dida ana sura nzito Jaman looh ila wanaume wana huruma
 
Back
Top Bottom