Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binamu Dida atakua kakuibia mume sio kwa vichambo hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]... shoga make ups kutwa mara tatu na zinadunda, anaonekana kama zile poda wanazopakwa maiti, Dida ana sura nzito Jaman looh ila wanaume wana huruma
Mmh shoga kidawa aunty Ezekiel kwenye mitandao ya kijamii kasema ametoa mchango million nne kumbe katoa laki mbili , uwoya nae alitangaza kalipa mil 8 kumbe laki tano, hii mi mbwa inapenda sifa hela haina, na hapo bado domo atasema anatoa mil 100. View attachment 1792757
Kumbe Warumi we kike!!!Wanazengo na nyie mna midomo[emoji23][emoji23], kwanza na nyie mmeolewa au ndo mko heda kama warum hapai[emoji23][emoji23]
Kajenga bhanaaDida nae ndo nini kuwaanika wenzao namna hiyo wakat wametuambia wamechanga million 8[emoji23][emoji23], Dida sio mtu mzuri akiii, kama namuona Irene alivyochunda uso kwa kumbuka mxieew kujifanya ana hela wakati anakaa nyumba ya kupanga
Dai atasema mil 100 kumbe elf50...[emoji16][emoji16]maana yeye mpk ikipelea ndo achangieMmh shoga kidawa aunty Ezekiel kwenye mitandao ya kijamii kasema ametoa mchango million nne kumbe katoa laki mbili , uwoya nae alitangaza kalipa mil 8 kumbe laki tano, hii mi mbwa inapenda sifa hela haina, na hapo bado domo atasema anatoa mil 100. View attachment 1792757
Uwoya kajenga wap?
[emoji3][emoji3]natania bhanaaUwoya kajenga wap?
Wewe Dada sijui kaka sijui nikuiteje ni full burudani.Wanazengo na nyie mna midomo[emoji23][emoji23], kwanza na nyie mmeolewa au ndo mko heda kama warum hapai[emoji23][emoji23]
Mbona umekaa kiumbeyambeya Mkuu?Mmh shoga kidawa aunty Ezekiel kwenye mitandao ya kijamii kasema ametoa mchango million nne kumbe katoa laki mbili , uwoya nae alitangaza kalipa mil 8 kumbe laki tano, hii mi mbwa inapenda sifa hela haina, na hapo bado domo atasema anatoa mil 100. View attachment 1792757
jukwaa la umbeya hiliMbona umekaa kiumbeyambeya Mkuu?
Michango bado inaendelea, wenye tick ndo wamekamilisha ahadi. Hao wengine bado
Mbona umekaa kiumbeyambeya Mkuu?
Michango bado inaendelea, wenye tick ndo wamekamilisha ahadi. Hao wengine bado