Wino huu umenifanya niwafahamu wote waliokwepa kupiga kuraWanajamvi,
namshukuru Mungu nimepiga kura jumapili iliyopita. Samahani kuwasumbua katika hili lakini nadhani litawasaidia wengi katika kipindi hiki, je ule wino tuliowekewa kama alama ya kupiga kura tunaweza kuutoa kwa dawa/sabuni/ au kimiminika gani? Mpaka leo sijafanikiwa kusafisha kidole hicho.
Fua majeans kama matatu ivi wino kushney
wanajamvi,
namshukuru mungu nimepiga kura jumapili iliyopita. Samahani kuwasumbua katika hili lakini nadhani litawasaidia wengi katika kipindi hiki, je ule wino tuliowekewa kama alama ya kupiga kura tunaweza kuutoa kwa dawa/sabuni/ au kimiminika gani? Mpaka leo sijafanikiwa kusafisha kidole hicho.
Wino huu umenifanya niwafahamu wote waliokwepa kupiga kura
Morning WEED'] Ivi sometime wachangiaji humu jf huwa akili mna weka pembeni alaf mnatoa maoniiii........ au ni nini kinakuwa kinawapata??