Elections 2010 Kufuta alama ya wino kwenye kidole

Elections 2010 Kufuta alama ya wino kwenye kidole

Wanajamvi,
namshukuru Mungu nimepiga kura jumapili iliyopita. Samahani kuwasumbua katika hili lakini nadhani litawasaidia wengi katika kipindi hiki, je ule wino tuliowekewa kama alama ya kupiga kura tunaweza kuutoa kwa dawa/sabuni/ au kimiminika gani? Mpaka leo sijafanikiwa kusafisha kidole hicho.

Siku raisi halali wa Tanzania wa watanzania atakapotangazwa
 
Wengi hawana wino vidoleni kutokana na mapungufu yaliyosababishwa na tume kwa maslahi ya sisiem.
 
Back
Top Bottom