Habarini wakuu, naomba niende moja kwa moja kwa mada.
Je kesi ikifutwa chini ya kifungu namba 255 kwa sababu ya kukosekana kwa ushahidi, je statement/s iliyokuwa imeshapokelewa na Hakimu kama ushahidi inaweza tolewa kwenye file la Hakimu pale kesi ikirudi tena police?
Asanteni
Je kesi ikifutwa chini ya kifungu namba 255 kwa sababu ya kukosekana kwa ushahidi, je statement/s iliyokuwa imeshapokelewa na Hakimu kama ushahidi inaweza tolewa kwenye file la Hakimu pale kesi ikirudi tena police?
Asanteni