sitaki hela
Member
- Oct 10, 2022
- 93
- 117
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba shule zote zilizofutiwa matokeo iwe fundisho kwa shule zingine, na najua tayari kuna dosari katka shule hizo naomba wachukuliwe hatua kuanzia uongozi wa shule, wasimamizi, Kwani hawnatofauti na wauaji.
Taifa linapata wataalamu wasio na sifa, mapendekezo ya hatua ni kama ifutavyo, wasimamizi wafukuzwe Kazi, wamiliki wa shule za private shule zifutwe, hii itakuwa fundisho.
Taifa linapata wataalamu wasio na sifa, mapendekezo ya hatua ni kama ifutavyo, wasimamizi wafukuzwe Kazi, wamiliki wa shule za private shule zifutwe, hii itakuwa fundisho.