Hapa sijui nani anamhukum nani.
Ile kadi ni haki yake kwa kosa lile
Na TFF na bodi zao hizo ndio janga la soka nchini.Hii bodi yenyewe inabidi ifungiwe
Ushauri wangu kwa Simba:
Huu mchezo wa kufanya mechi hizi kuw akama Bonanza
Wawapeleke Mahakamani kwa kuwapa Hasara na ikiwezekana matokea yabadilishe wapewe ushindi Simba,maana Kadi ilitolewa mwanzo sana na uwezo wa Simba kushinda ungekuwepo.Bila watu kupigwa Faini kubwa hizi bodi zitazoea,maana kubadili ratiba kila siku,kuwa na maamuzi tata kila siku..mpira wenyewe wa kuunga unga
Huu ujanja ujanja ndio hata kwenye Mashindano ya Kimataifa kwa wenzetu waliojipanga bado wanatufunga kipumbavu kila siku huku tukijifanya Nchi ya Amani na Utulivu.Kuna Nchi hazina amani miaka teleee,na tukicheza nazo wanatufunga tena wao hukusanya tu wachezaji kama bonanza na kutuchapa.Aibu tupuuu