mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,252
Katika mechi ya Simba Na Yanga mchezaji Mkude wa Simba alionyeshwa Kadi nyekundu Na Refa Saanya.Kitendo hicho kiliifanya Timu ya Simba kucheza pungufu Na Yanga kufaidika Na upungufu huo.Ninacho jiuliza ni kwamba Kwa hiyo mchezaji Mkude hakutenda kosa Na hakustahiri kuonyeshwa hiyo kadi.Kwa matokeo hayo Bodi Ya Ligi inawambia nini Simba Kwa yaliyoyapata Kwa mchezaji wake kuonyeshwa kadi bila kosa?Kwanini Bodi ya Ligi ilimpanga Refa aliyetoka kifungoni hata haijapata uhakika kama amejirekebisha?