Kwani wamefanya nini?!Yapo baadhi ya mataifa yalitoa adhabu Kali sana baada ya wachezeji wao kuleta matokeo mabaya?? Ni dhamu yetu sasa!!!View attachment 938682
Tatizo limeanzia hapaKupitia ukurasa wake wa Twitter Rais Dkt. John Magufuli ametuma ujumbe mfupi, amesema atakuwa anazatama mchezo wa Taifa Stars na Lesotho huku akiwatakia kila la heri warudi na ushindi.View attachment 938588
Hakika turudi EU na kwenye koro show mambo ya taifa stars tuwaachie wanaojuaBora tumefungwa...
Haya turudi EU tukamalizane nao.
Kelele zilikuwa nyingi sana.
Wakuu leo naona tunapigwa kabisa kwakweli tujipange kuvumilia maumivu
Ndio iliyobaki.Labda uganda watuonee huruma tu,
Unafikiri kosa nini kushindwa kwetu? Tufanyeje,?Usilete siasa za ufipa kwenye michezo.
Boko angeanza tungeshangilia ushindi leokwa forward kama boko nakuunga mkono tuvumilie maumivu
Warudishe 50m kwanzaYapo baadhi ya mataifa yalitoa adhabu Kali sana baada ya wachezeji wao kuleta matokeo mabaya?? Ni dhamu yetu sasa!!!View attachment 938682
umoja ni muhimu sana kwenye jambo lolote lile , na ndio maana siku ulipoolewa ndugu zako hata makapuku walishiriki send off yakoUsilete siasa za ufipa kwenye michezo.