Matundu mangapi?[emoji2088][emoji2088][emoji2088]TunatoboaView attachment 938550
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Mambo ya kibwege mara nyingi huwa yanatimia, sijui kwanini...
gundu hill LA mapeeemaNilipoona tu tweet ya mzee wa kaya dakika chache kabla Game haijaanza nikajua hapa Hatushindi
Jamaa angejuaga ana laana angekaa kimya hata wagonjwa asiwe anaenda kuwaangalia View attachment 938694
Naunga mkono hojaViongozi wa TFF tuondoleeni hiyo takataka... hana nia njema na Timu yetu
Ni dhahiri kabisa huyu kocha hatutakii mema sisi watanzania, ambao ni mashabiki wa timu yetu ya Taifa..
Mechi na cape verde alipanga kikosi kibovu tukafungwa.. karudi nyumbani karekebisha kikosi tukashinda..
Leo amekuja kurudia yaleyale.. baada ya kupanga kikosi cha ushindi yeye anapanga kikosi cha majaribio
Huyu kocha hatufai atimuliwe arudi kwao kuuza nyanya
Hapo hawataenea.Kwa bajaji[emoji847][emoji847]
Hawabebeki licha ya kupewa support ya kutosha wapuz sana HawaWasipokelewe uwanja wa ndege.
Huyu aondoke tu kwa kweli
Ila nafasi bado ipoViongozi wa TFF tuondoleeni hiyo takataka... hana nia njema na Timu yetu
Ni dhahiri kabisa huyu kocha hatutakii mema sisi watanzania, ambao ni mashabiki wa timu yetu ya Taifa..
Mechi na cape verde alipanga kikosi kibovu tukafungwa.. karudi nyumbani karekebisha kikosi tukashinda..
Leo amekuja kurudia yaleyale.. baada ya kupanga kikosi cha ushindi yeye anapanga kikosi cha majaribio
Huyu kocha hatufai atimuliwe arudi kwao kuuza nyanya
Na ajibu hamtaki mzee wa maassistikoHuyu Kocha ni qummer *****, sasa ally Sijui sonso kacheza namba ambayo siyo yake, si Bora angemuita tshabalala Now yuko fomu ?.... Anatupangia kikosi cha kipumbavu,.. ***** waishie huko huko
Nmekasirika sana yani atakaejipendkeza ntampiga ngumi mpaka ashange
Hilo goli amechoma huyo sonso, Hao majamaa Ni wazuri sana, hila awako tayr na uzoefu wa kucheza mechi kubwa kama Hii..
Ulijua MkuuHaha kikosi chenyewe tu ni 1-0 mpaka sasa.
Ukimfunga uganda umfunge kwa Magoli mengi huku ukiomba Lesotho afungwe au atoe Draw na Cape verde. Kwasababu Lesotho akimfunga Cape verde atafikisha point 8 na sisi tukimfunga Uganda tutakuwa na point 8 hivyo mshindi atakuwa mwenye magoli mengi ambapo Lesotho wana hiyo advantage kwa sasa.Ni lazima tuwafunge Uganda na si kwa kubebwa ili cameroon tukawe kapu la magoli
Kwanza tuanze na wewe kukuazibu (adhabu) kwa kuharibu kiswahili, unatakiwa uvutwe ulimi mpaka ujue matamshi halali.Yapo baadhi ya mataifa yalitoa adhabu Kali sana baada ya wachezeji wao kuleta matokeo mabaya?? Ni dhamu yetu sasa!!!View attachment 938688