Hahahahah.Kaseja kishakula viwili.Juma kaseja na msuva ndio men of the match
Ndugu yangu upo salama mi nakusalimia tu sina jingine 😝😝😝Hakuna hawa leo wanakaa nakwambia
Anaogoapa majeraha. Dirisha la winter halipo mbali.Huyu samatta mbona anacheza rojorojo
Hii mechi siwezi kumlaumu refa,ilikuwa mikononi mwetu kabisa ila wengine miungu watu hawafanyiwi sub hata kama wanazinguaDaaaah yaani hapo ndo kwisha habari yetu.. Refa katuua kabisaaaa
Anayefurahi mwisho ndiye huwa anafurahi zaidiWachawi bhana sijui kwanini hawapendi maendeleo
Ilikuwa sub yake mapema sana,Kimenya angebaki tuAnaogoapa majeraha. Dirisha la winter halipo mbali.
Yap chungu na tamu at the same timeHahahahah.Kaseja kishakula viwili.
Sema suuùuTutashinda huko huko ughaibuni
Kama Samata. Naona kocha anaogopa.Hii mechi siwezi kumlaumu refa,ilikuwa mikononi mwetu kabisa ila wengine miungu watu hawafanyiwi sub hata kama wanazingua
MamayoI LOVE YOU
LIBYAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA I LOVE YOU LIBYAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
There's "health" there's also the flip side "sickness"Tanzania anakufa leo
Kitambaa apewe MsuvaKama Samata. Naona kocha anaogopa.
Kwanini hamukumpeleka jecha akachezesha yeyeDaaaah yaani hapo ndo kwisha habari yetu.. Refa katuua kabisaaaa