Wangelambwa kipindi cha kwanza ingekuwa vizuri zaidi.There's "health" there's also the flip side "sickness"
Libya wamelambwa kadi nyekundu
Kabet huyo!Mamayo
Unasema?Tayari umeshaliwa hapo mkuu.
Na hata nyinyi jecha ni wenuRefa wao huyu
Sauti haitoshi mkuuUnakariri eeeh, sasa ngoja ufe njaa mjini hapa daadeq
Panki au kipara?Tulia unyolewa sasa
Hii mechi ni yetu ila tunachezea chezea,na baadaye tunaweza kufungwa sisi.......ningekuwa Kocha ningemtoa Samata
KAMA CCM WANAVOONEA WAPINZANITumeonewa
Mimi nilishaikataa Tanzania toka mwanzo huwa wana katabia kabaya sana mwanzo mwa mechi wanakaza sana ila mwishoni wananiangusha.Wangelambwa kipindi cha kwanza ingekuwa vizuri zaidi.
Kama jecha alivomuonea maalim seifTumeonewa, mpira umegonga goti
Ni maboya siku nyingi sana hao.Taifa stars ni maboya kweli