Ndiyo ndiyo naangalia.. Kukoswa koswa siyo tatizo.. Sisi tunaondoka na point zote acha waendelee kukosa tuu.Mechi unaiangalia lakini?
Sawa mkuu.muda utaongeaNdiyo ndiyo naangalia.. Kukoswa koswa siyo tatizo.. Sisi tunaondoka na point zote acha waendelee kukosa tuu.
Ibaki hivyo hivyo tuu wakose.. Tukishinda tuu hii mechi tayari tumeshafuzu.. Tutatafuta ushindi mmoja na sare moja tuu tunamaliza mchezoNafasi nyingine hii ya wazi kabisa libya wanakosa goli la kibwetere
Sijawahi na sitakuja kujaribu kubeti mechi za kiafrika never.Tatizo mnabet kwa mazoea.. Inatakiwa uisome kwanza mechi ndo unatupia mkeka
Haya nishayazoea ndugu Bundi!Shetani wa msituni wewee ushindwe.
Jaribu kuwa mzalendo basi😕
Moja kwa moja. Jamaa wamesawazisha.Bado tunaongoza... Libya kwisha habari yake