Miguel Alvarez
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 2,856
- 5,430
Mkuu mbona huna Uzalendo na Nchi yako😁Tanzania 0 - Algeria 4.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbona huna Uzalendo na Nchi yako😁Tanzania 0 - Algeria 4.
HahahaMkuu mbona huna Uzalendo na Nchi yako[emoji16]
Ulitaka acheze nani?Tuna safari ndefu sanaa. Sura zilezile
Nakubaliana na wewe mpole alitakiwa aanze.Ile mechi ya kula sana mate, nyonya sana......! Lamba sana.....! Halafu unapima oil, fresh! 😁😁 Peleka sana moto....! Halafu baadae kidogo Waalgeria haoooo wanatoka!! (Ule uzi bhana 😁)
Ila Kim hajamtendea haki George Mpole! Alistahili kabisa kuanza kwenye hii mechi.
Jamaa anawanga mapema sana mpaka noma😁Hahaha
Asicheze mtu.Ulitaka acheze nani?
Tunacheza kwa kujihami sana ndio maanaHivi hii timu ina mpango wa kushambulia kweli? Mbona sioni mipango
Uwezekano wa kupata goli haupo! Sisi tutaupiga tu mwingi!Hivi hii timu ina mpango wa kushambulia kweli? Mbona sioni mipango
Kwa mpira huu goli labda lije kwa kudra za mwenyezi MunguHivi hii timu ina mpango wa kushambulia kweli? Mbona sioni mipango
Kidogo achomeshe, anamsindikiza mtu Manula kaokoa24”
0-0
Mohamed hussein anakaza sana[emoji1434]
32Dakika ya ngapi?