Na jamaa wanatumia sana upande wake kufanya mashambulizi24”
0-0
Mohamed hussein anakaza sana[emoji1434]
Nyumbani tunajihami na ugenini je ?Tunacheza kwa kujihami sana ndio maana
Game ya kujilinda na kuvizia..Hivi hii timu ina mpango wa kushambulia kweli? Mbona sioni mipango
Algeria unawajua vizuri ukifunguka? Bora sare.Nyumbani tunajihami na ugenini je ?
Uoga tu na timu mbovu inatugharimuAlgeria unawajua vizuri ukifunguka? Bora sare.
Yaani Kibabage ndiyo anaharibu mtitiriko wa mashambulizi kule mbele. Naamini atapewa sub mapema sana kipindi cha pili kama mwalimu wake ataendelea kumvumilia.Kibabage anafanya nini ndani
Mtu anayejihami anacheza huu ujinga!??Tunacheza kwa kujihami sana ndio maana
Ndio hivyo inabidi tucheze kulingana na uwezo wetu.Uoga tu na timu mbovu inatugharimu
Hamna kitu. Hatuna timu tuYaani mna comment as if mpo level moja na Algeria kimpira
Mpira unachezwa uwanjani! Ukijiandaa vizuri na ukimheshimu mpinzani wako, utapata matokeo mazuri!Yaani mna comment as if mpo level moja na Algeria kimpira