Kufuzu AFCON 2023 | Taifa Stars 0-2 Algeria | Uwanja wa Benjamin Mkapa

Kama kawaida! Kuzubaa, kufanya makosa nje ya 18! Kumewaponza!

Wamefungwa goli kama walilofungwa wenzao wa Uganda! Upigaji ni ule ule! Wamezubaa, wakafungwa.

Yaani walikosa hata muda wa kuangalia mchezo wa wapinzani wao na kuangalia namna wanavyopiga faulo zao nje ya 18! Ngozi nyeusi kweli ni changamoto.
 
Dickson Kibabage ni mchezaji hewa,hana msaada wowote kwenye pitch.

Simon Msuva siku mbaya kazini.

Kibu Denis ni bora aingie kuongeza nguvu kule mbele.

Simba ile kamati yenu ipo wapi muinusuru timu..[emoji3064]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…