Yaani Kibabage ndiyo anaharibu mtitiriko wa mashambulizi kule mbele. Naamini atapewa sub mapema sana kipindi cha pili kama mwalimu wake ataendelea kumvumilia.
Mimi ni Yanga! Lakini kwenye ukweli, nitasema. Mwamnyeto anabebwa sana na Bangala! Ni beki anaye jisahau sana kwenye kufanya marking!Mwamnyeto kasababisha tena lakini sio mbaya tumejitahidi hii hii moja tuliyopigwa twende nayo hivyo hivyo.
Japo pia hata sammata na msuva pale walichezea nafasi pia.
Dickson job amejitahidi sana
Uko sahihi. Hana kabisa match fitness. Yaani anachezea jina tu kwenye mechi ya leo.Msuva je? Huyo nda hatakiwi hata kuwa kikosini
Tunasema hatoki mtu kwa Mkapa!Tunapigwa tukijitahidi droo
Bora hata mngenipa mimi timu aisee! Ningekuwa nadesa mawazo yenu wakati mpira unaendelea, na kuyafanyia kazi faster.Jamani yaani kwwli mpira huu ndio mpaka tuwe na kocha wakigeni??? Yaani mpira mbele haukai kabisa
Upo sawa kabisa mkuu, Mwamnyeto kimeo sana aiseeh.Eeeh wakina mzamiru vimeo ndiyo
Tushakaa hatoki wapiTunasema hatoki mtu kwa Mkapa!
Punguza mihemko! Kama hutizami mpira kaa kimyaPunguza ujinga, penat zipi?
Connection mkuu..😂😂Hivi Msuva ameitwa kikosini kwa kigezo gani?
Ligi ipi??Mbona kwenye ligi tunajitahidi sana
Mwamnyeto mchezaji aliyejaliwa kila kitu! ana umbo zuri! Umri unamruhusu!Upo sawa kabisa mkuu, Mwamnyeto kimeo sana aiseeh.
Shot on target zao 2 moja imekuwa goli, jamaa wanacheza vizuri na nafasi.Kiukweli Msuva na yeye anatakiwa kupumzishwa. Angeingia George Mpole na Kibu Dennis, hala Msuva na Kibabage wangepumzishwa.
hii timu huwa inatuvunja moyo sanaMkuu mbona huna Uzalendo na Nchi yako😁
Kabisa kaka. Sasa timu haichezi tupo nyumbani, kila mtu anategemea sie kufungwa, kwa nini tusishambulie tuuBora hata mngenipa mimi timu aisee! Ningekuwa nadesa mawazo yenu wakati mpira unaendelea, na kuyafanyia kazi faster.
Huoni hata goli linatokea wapi 🤣🤣hii timu huwa inatuvunja moyo sana