MnAmataka acheze nani,Hawa Ndio wa hezaji wetuπ πKikosi cha kipuuzi
Labda anatamani kumuona Mwaikimba!Ulitaka acheze nani?
Kelvin JohnπππMpole na Kelvin John in....
Ndo ushangae sasa na wewe, hakustahili hata kuitwa kikosiniWakati mwingine makocha huwa wanatumia ubongo wa kuku,unamwitaje mchezaji miezi 6 hana timu,unamuacha nje mechi ya nyumbani mchezaji aliyefunga mechi ya ugenini
Ushindi unaanza kuutafuta mapema mkuu ukiwa home,siyo jioniHizi sub za George Mpole na Kelvin John, sasa ndiyo zinaonesha kocha anahitaji matokeo. Ila pale mwanzo alipuyanga.
Msuva ameshatoka, Samatta ni Star wetu hawezi toka saizi π€£Samatta anabakiaje ndani??? Hakuna mchezaji hapa sasa.
Msuva aanze kutafuta timu, hata Caostal union fresh tu ili awe katika kiwango sahihi
Thimbaaa?Waendeleze legacy ya Simba.
Over 1.5 ππYeyote afunge basi watu angalau tupate hela kama matokeo hayapatikani,goli moja tu π€£π€£......maana yanahitajika mawili
Akikosa timu ya nje huenda akajisogeza kwenye vilabu vya kariakoo.Samatta anabakiaje ndani??? Hakuna mchezaji hapa sasa.
Msuva aanze kutafuta timu, hata Caostal union fresh tu ili awe katika kiwango sahihi
Kocha alishachemka tangu mwanzo kwa kumuanzisha Kibabage, badala ya George Mpole. Tukipata harmta sare tu, basi tunastahili pongezi.Ushindi unaanza kuutafuta mapema mkuu ukiwa home,siyo jioni
Tushapanga budget,naona hapo uwanjani hawako serious kabisa π€£π€£π€£Over 1.5 ππ
Icon ya TaifaSamatta huwa anaitwa kwasababu gani?