yani hii mechi jecha anahitajika haraka sana maana hawa jamaa wamejishajitangazia ushindi
Hamna namna tayari tumesomeshwa namba.
MANYUMBU 3 magufuli 0!
jumla ya wapiga kura ni... kura halali ni.,,kura zilizoharibika ni....taifa stars imepata kura....algeria imepata kura.... mshindi ni... amepata kura...
Cha mtemakuni watakiona sisiem mbele kwa mbele