KUFUZU KOMBE LA DUNIA 2018, Novemba 17 2015: Algeria vs Tanzania

Michezo kwa ujumla ni uwekezaji bila serikali kuonesha kua inajali michezo kwa kuwekeza kuanzia ya chini hatuwezi kufanikiwa kwa hizi hadaa za zimamoto,kutaka mafanikio bila kuwekeza
 
Yaan kweli watu milion 45 na usheh hakuna watu kumi na moja tu wenye kipaji cha football?
 
Kale kawimbo ka CCM "Wataisoma Namba" kameendelea kuleta maana katika nyanja mbalimbali..... Mpaka sasa wapo watendaji wa serikali walioisoma namba, wengine wametoka kuisoma namba jana baada ya kukatwa (rejea yule mzee mwenye jina la namba 10-4=? Sasa leo ilikuwa zamu ya Stars baada ya kuchezea wiki nzima (7).....
Orodhesha na mwingine aliyeisoma namba hapa chini.......

Moderator ukifuta uzi huu utaisoma namba nawewe! Nibora uuhamishie kwenye jukwaa la vitimbwi na vichekesho kwamaana hakuna namna!
 

Faouzi Ghoulam Fantastic Free Kick Goal - Algeria vs Tanzania 2-0 https://www.youtube.com/watch?v=i7GAKBEG0bs



Riyiad Mahrez Goal - Algeria vs Tanzania 3-0 (World Cup Qualification 2015) https://www.youtube.com/watch?v=Lv7x0scB-d4



Yacine Brahimi fantastic nutmeg - Algeria vs Tanzania 2015 https://www.youtube.com/watch?v=D7136whOO5g


Algerie vs Tanzanie 7-0 Algeria buts complet 2015 https://www.youtube.com/watch?v=GHy9J10T73I


Algerie vs Tanzania 1-0 But yacine Brahimi 17.11.2015 https://www.youtube.com/watch?v=ir2I9-c2JTo





Algerie vs Tanzania 7-0 17/11/2015 https://www.youtube.com/watch?v=GHy9J10T73I
 
Ndio maana toka Uhuru tuna kiwanja kimoja tu cha kisasa cha mpira kilichojengwa wakati wa Mkapa.
 
Mtamlaumu Mkwasa buree.
Wachezaji wetu wengi wao hawana nidhamu.

Just imagine yule aliyetolewa kwa red card alikuwa na sababu gani ya kumrukia teke yule mchezaji wa Algeria huku akiwa anajua dhahiri kuwa tayari ana kadi ya manjano?
 
Hio ndio soka jamani maana hata ARSENAL alishawahi kufungwa 8 na MAN UNITED
Yaani ukikaa vibaya lazima upigwe nyingi hakutakuwa na namna
 
izo bilions zilizowekezwa Taifa stars...kama zingepelekwa kwenye ngumi Im pretty sure tungewapata wakina Mayweather wa kutosha.
TUKUBALI UKWELI..MPIRA TANZANIA HAMJUI..ACHENI KULAZIMISHA FANI
 
Ahhh Wameisoma yaani nimefurahi sana usiku huu... tufurahi mapema kabla kov hajapiga marufuku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…