Kufuzu World Cup 2026; Tanzania yatupwa Kundi E ikiwa na Morocco na Niger

Kufuzu World Cup 2026; Tanzania yatupwa Kundi E ikiwa na Morocco na Niger

Groups ziko 9,
Kila group litatoa timu MOJA tu ambae kwetu tuseme atatoka Morocco.

Kisha timu nne ambazo ni washindi wa pili waliofanya vizuri zaidi kuliko washindi wa pili wengine watakua na Playoff zao watoane hadi aje apatikane mmoja tu.

Huyo ataenda kucheza playoff na bara jingine kisha akifuzu ndio anaungana na wale 9 pale juu wanakua 10. Akifeli tunaishia palepale kwenye 9 tu.
Alaaa, kwahiyo hata tukiwa wa pili tunaeza kwenda kutolewa na inchi ya bara lingine huko
 
Alaaa, kwahiyo hata tukiwa wa pili tunaeza kwenda kutolewa na inchi ya bara lingine huko
Ndio boss.
Kwanza wa pili yenyewe tuwe katika wanne wale wa pili waliofanya vizur zaidi. Tuanze kutoana wenyewe kwa wenyewe mpaka abakie the best wa pili kwa Africa ndo ukacheze na wa wapi sijui huko.

Yaan hapa kutoboa ni difficult nearly to impossible
 
Hivi ilishawatokea bingwa wa Afcon akashindwa kushiriki kombe la dunia. Kwa maana ya bingwa wa wakati huo ambao mashindano ya kombe la dunia yakifanyika.
 
Back
Top Bottom