As Salafiyyu91
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 2,537
- 2,538
Habari zenu wa kuu kuna jambo moja naomba msaada wenu ati nimesikia bungeni limezungumziwa suala la vijana waitimu wa kidato cha sita mwaka 2013 & 2014 ambao hawatokwenda kupata mafunzo ya JKT watashitakiwa kwa mujibu wa sheria Tafadhalin anayejua jambo hili kwa undani anijuze..?