Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ungemuacha?😀😀 ulitaka akuachie
Aliyemtafuta ndiye atakuwa nae mkuu.Habari wakuu mimi mgeni kidogo hapa kuhusiana na hili suala je ni lazima wife kuondoka na house girl pale inapotokea mmegombana?
Mwanamke anayejitambua hawezi kwenda, then akuachie house girl.Habari wakuu mimi mgeni kidogo hapa kuhusiana na hili suala je ni lazima wife kuondoka na house girl pale inapotokea mmegombana?
Nisingemuacha. Mama ni mlezi wa watoto na house girl ni mmoja wa watoto, akiharibikiwa nitalaumiwa mimi.We ungemuacha?
Ameogopa hisije kujisavia beki 3 wakati yeye hayupoHabari wakuu mimi mgeni kidogo hapa kuhusiana na hili suala je ni lazima wife kuondoka na house girl pale inapotokea mmegombana?
Wewe unasema kuondoka na house girl! Akina mama wengine hawasafiri mpaka binti wa kazi awe period.[emoji5][emoji5][emoji5]Habari wakuu mimi mgeni kidogo hapa kuhusiana na hili suala je ni lazima wife kuondoka na house girl pale inapotokea mmegombana?
AhahahhahahahahaahahhahahaWewe unasema kuondoka na house girl! Akina mama wengine hawasafiri mpaka binti wa kazi awe period.[emoji5][emoji5][emoji5]
Sent using Jamii Forums mobile app
mabazazi watakula hata firigisi.Wewe unasema kuondoka na house girl! Akina mama wengine hawasafiri mpaka binti wa kazi awe period.[emoji5][emoji5][emoji5]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdada wa over25 huyo ni mtt kule kibosho[emoji848][emoji848][emoji848]Nisingemuacha. Mama ni mlezi wa watoto na house girl ni mmoja wa watoto, akiharibikiwa nitalaumiwa mimi.
Yupo chini ya mama, chochote kikitokea ataulizwa yeye.Mdada wa over25 huyo ni mtt kule kibosho[emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app