Kung fu panda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 748
- 785
ameondoka na chombo ya spea inauma sana dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wakuu mimi mgeni kidogo hapa kuhusiana na hili suala je ni lazima wife kuondoka na house girl pale inapotokea mmegombana?
inategemeana na aina ya ugomvi, kwan mkuu mmegombana nini chanzo?Habari wakuu mimi mgeni kidogo hapa kuhusiana na hili suala je ni lazima wife kuondoka na house girl pale inapotokea mmegombana?
Mara hii kazi za ndani zimekuwa n za mwanamke? Ni zetu sote. Nashauri Housegirl aachwe kituo chake cha kazi.House girl amekuja baada ya ninyi kuanza kuishi pamoja kwa ajili ya usaidizi kwa mwanamke sa unauliza manini ayo
Unataka kuniambia jukumu la nyumba kuwa safi linaweza likakuhusu? Utaskia wanasema jamaa kajenga bonge la nyumba ila yule mwanamke ni mchafuuMara hii kazi za ndani zimekuwa n za mwanamke? Ni zetu sote. Nashauri Housegirl aachwe kituo chake cha kazi.
Ewaaaz sasa ili usisemwe muache pale ule unamcontrol remotely kwa simu. Unampangia kazi asubuhi jioni unafuatilia. Unamuuliza baba amekula? Umahakikisha umemuandalia vizuri? Kitanda cha baba kisafi/ kimetandikwa? Haya usiku mwema....Hivyo yaniUnataka kuniambia jukumu la nyumba kuwa safi linaweza likakuhusu? Utaskia wanasema jamaa kajenga bonge la nyumba ila yule mwanamke ni mchafuu
it seems like you are no longer damned!Nisingemuacha. Mama ni mlezi wa watoto na house girl ni mmoja wa watoto, akiharibikiwa nitalaumiwa mimi.