Kugombea Uraisi Kenya!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Je, Sheria zinasemaje mimi kama Mtanzania kugombea Uraisi kama Demu wangu ni Mkenya na nikachukuwa Uraia? Naruhusiwa?

Faida ni nyingi kwa nchi ya Kenya kwani nitabalance kila kitu mambo ya ethinicity na kwamba watu watanipigia tu kura kwa Sera zangu na siyo kundi langu, hivyo naomba anayefahamu hilo, natanguliza shukrani zangu, ...
 
Baki huko huko na uccm wenu, usije kuturudisha nyuma tulikotoka miaka 20 iliyopita.

Halafu ili uwe mgombea urais Kenya lazima kwanza uwe mzawa wa nchi na raia tangu kuzaliwa Kenya.
 
Baki huko huko na uccm wenu, usije kuturudisha nyuma tulikotoka miaka 20 iliyopita.

Halafu ili uwe mgombea urais Kenya lazima kwanza uwe mzawa wa nchi na raia tangu kuzaliwa Kenya.


Asante kwa jibu hivyo haiwezekani kwa sababu sijazaliwa huko, ndicho nilichotaka kufahamu!
 
Asante kwa jibu hivyo haiwezekani kwa sababu sijazaliwa huko, ndicho nilichotaka kufahamu!

Labda uje na zile janja zenu za kujiita mara Bashite mara sijui nani.
 
Si usimame huko kwenu umwangushe huyo uchwara wenu acha kujipendekeza kwa kenya


Acha hizo wewe, nilipenda tu kujua kama Kisheria inawezekana kwani uwezo wa kukubalika na kushinda Uchaguzi Kenya ninao, isitoshe Kenya mimi na mimi ni marafiki!
 
Acha hizo wewe, nilipenda tu kujua kama Kisheria inawezekana kwani uwezo wa kukubalika na kushinda Uchaguzi Kenya ninao, isitoshe Kenya mimi na mimi ni marafiki!

Uwezo gani ambao unao? kama umeshindwa kusimama kwenu Kenya ndio utaweza? Kabda uwende kwa waganga wa sumbawanga hata hi yo huwezi ,kwanza kiti kipi unataka kuwania? labda uje nikuoe.
 
Uwezo gani ambao unao? kama umeshindwa kusimama kwenu Kenya ndio utaweza? Kabda uwende kwa waganga wa sumbawanga hata hi yo huwezi ,kwanza kiti kipi unataka kuwania? labda uje nikuoe.


Mimi siyo Mwanamke hivyo naoa na nina Demu tayari!
Nilitaka kuja kugombea Uraisi halafu nimtumie Jeshi Maraga wakamuondoe Supreme Court maisha yaendelee!
 
For you to vie for a political seat,you must be a Kenyan by birth
be a registered voter,
be 21 years and above
must have been in the country for the last 7 years
must not be a holder of dual citizenship.
 
Karibu sana ndugu yetu barbarosa, swali lako kama ili tuu[emoji116]
 
Mimi siyo Mwanamke hivyo naoa na nina Demu tayari!
Nilitaka kuja kugombea Uraisi halafu nimtumie Jeshi Maraga wakamuondoe Supreme Court maisha yaendelee!

Kama alivyokushauri hapo jamaa, ungeanza na kutafuta udiwani kwenu.
 
Albadir huwa inaanza hivi kuonesha matokeo
 
For you to vie for a political seat,you must be a Kenyan by birth
be a registered voter,
be 21 years and above
must have been in the country for the last 7 years
must not be a holder of dual citizenship.
Mbunge je? Mwenye dual citizenship anaruhusiwa? Waziri? Judge?
Iebc officers wanaruhusiwa that I know
 
Yaonekana chama chako ni "Demu party" na sera zako ati ethinicity (wrong spelling my fren) ila hauna ujuzi kiuchumi ,kingereza chako hafifu ,huwezi kimbia kama mKalenjin na wewe huli miraa.

DISQUALIFIED sababu mitindo ,tamaduni za Kenya ,evolution kifikra kwa kikatiba mpya huna (hapa fikra zako bado ni za CCM) na kupenda pesa kama waKikuyu ili ukuze uchumi hutaweza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…