Nijuavyo Kuna vyombo ambavyo haviruhusiwi kutembea usiku barabarani pia ni kosa kugongwa gari kwa nyuma.
Naomba kujua je mtu akigonga jembe la trekta usiku ni kosa? Na je polisi wakikagua trekta na kudai lina taa ni halali wakati jembe halina reflector na pia ukipima umbali toka kwenye taa mpaka umbali gari ilipogonga kisu cha jembe ni umbali wa kisheria?
Pia naomba kujua trekta inaruhusiwa kubeba watu wangapi? Na je kwenye ajali ya namna hiyo majeruhi zaidi ya dereva haki zao ni zipi?
Asanteni
Naomba kujua je mtu akigonga jembe la trekta usiku ni kosa? Na je polisi wakikagua trekta na kudai lina taa ni halali wakati jembe halina reflector na pia ukipima umbali toka kwenye taa mpaka umbali gari ilipogonga kisu cha jembe ni umbali wa kisheria?
Pia naomba kujua trekta inaruhusiwa kubeba watu wangapi? Na je kwenye ajali ya namna hiyo majeruhi zaidi ya dereva haki zao ni zipi?
Asanteni