Kugundua lugha mpya

muuza ubuyu

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2010
Posts
3,539
Reaction score
3,551
Habari wana intelijensia!
Na hoja kidogo hapa! Chanzo ama asili ya lugha ni nini? Je, nina weza kugundua kueneza na kukuza lugha mpya? Inawezekana hili? Tujadili!!
 
inawezekana kabisa kinachotakiwa ni utashi tuu kwakuwa lugha huzaliwa hukua/ huenea na hufa. kilatin ilikuwa lugha inayoishi lakini leo ni lugha ya vitabuni zaidi IMEKUFA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…