muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,539
- 3,551
Habari wana intelijensia!
Na hoja kidogo hapa! Chanzo ama asili ya lugha ni nini? Je, nina weza kugundua kueneza na kukuza lugha mpya? Inawezekana hili? Tujadili!!
Na hoja kidogo hapa! Chanzo ama asili ya lugha ni nini? Je, nina weza kugundua kueneza na kukuza lugha mpya? Inawezekana hili? Tujadili!!