DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Iache itamaliza yenyeweNimeiweka nimeishia hapo then what next?View attachment 2774154
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iache itamaliza yenyeweNimeiweka nimeishia hapo then what next?View attachment 2774154
Hapo kwenye kuchenji directory pafafanue vizuriHiyo ni commands mzee iandike kama ilivyo hahah hiyo ndo itaenda kufanya clonning ya wifite
Kumbe bado inaendelea ngoja niiacheIache itamaliza yenyewe
Mkuu haitakuja kuhitaji external wife dongle wakati wa ku scan hizo wifi.mpangilio wa Jinsi ya kuinstall wifite lazima kwanza uwe umeinstall python angalau version 2 ...python2 au 3 unayo?
Lazma uwe na git repository umeunganisha?
Kama zote zipo niambie
Kuchange directory...Hapo kwenye kuchenji directory pafafanue vizuri
Hpana maana utatumia repository za git ila kma utafanya maping mwenyew ndo utakubdi kutumia externalMkuu haitakuja kuhitaji external wife dongle wakati wa ku scan hizo wifi.
Kuchange directory...
cd ikifuatiwa na hiyo unayotaka kuuchangia mfano wifite... Itakuwa
cd wifite
Upi?Acha ushamba ndugu
Naona kama inaomba usernameIache itamaliza yenyewe
Una account github?
Mkuu mi nimeamua next week niweka kali linux tu, naona android mizinguo mingi sana, tools nyingi zinakuja kwa ajili ya PC.Hpana maana utatumia repository za git ila kma utafanya maping mwenyew ndo utakubdi kutumia external
HapanaUna account github?
Yeah umefanya chaguo zuri sana Linux mzee ndo kila kituMkuu mi nimeamua next week niweka kali linux tu, naona android mizinguo mingi sana, tools nyingi zinakuja kwa ajili ya PC.
Mkuu na amini utakua mentor wangu katika hii journey.Yeah umefanya chaguo zuri sana Linux mzee ndo kila kitu
Ngoja nianzishe uzi ili tuelekezane huko maana mimi mwenyewe najifunza badoMkuu na amini utakua mentor wangu katika hii journey.
Nia yangu niwe deep nipitie njia zipi.
Ooh bhasi ngoja nikupe njia ya yay kabla ya kuamia kwenye linuxHapana
AOoh bhasi ngoja nikupe njia ya yay kabla ya kuamia kwenye linux