Elections 2010 Kuhakiki majina ya vituo na jinsi ya kupiga kura

Elections 2010 Kuhakiki majina ya vituo na jinsi ya kupiga kura

Kisendi

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2009
Posts
699
Reaction score
179
NDUGU WANAJF, KESHO TUKACHECK MAJINA YETU ILI TUHAKIKI KABISA NA SIKU YA KUPIGA KURA TUWAHI MAPEMA SAA 6AM IKIBIDI ALIFAJILI NA HAKUNA KUCHOKA TWENDE NA MAJI KABISA, MWANZO MWISHO.

JAMANI TUMECHOSHWA NA AHADI HEWA NA AMBAZO WENZETU HAWATATEKELEZA.

CHADEMA ZINATEKELEZEKA SIO KILA AHADI UNATEGEMEA WACHINA, WAJAPAN N.K WAKIGOMA. WHY NOT KUTUMIA KILICHOPO AT LEAST 70% UKAITUMIA THEN HATA 30% UKIOOMBA TUNAONA RWANDA NA KENYA, SIMPLE

TUSIPOBADILIKA GHARAMA ZILIZOTUMIKA TUTAZIRUDISHA CC WENYEWE, MAFUTA YATAPANDA MPAKA 2500 per lita, MAEGESHO YATAPANDA MPAKA 1500, TUJIFUNZE.

Let us think on this opinion.
 
NDUGU WANAJF, KESHO TUKACHECK MAJINA YETU ILI TUHAKIKI KABISA NA SIKU YA KUPIGA KURA TUWAHI MAPEMA SAA 6AM IKIBIDI ALIFAJILI NA HAKUNA KUCHOKA TWENDE NA MAJI KABISA, MWANZO MWISHO.

JAMANI TUMECHOSHWA NA AHADI HEWA NA AMBAZO WENZETU HAWATATEKELEZA.

CHADEMA ZINATEKELEZEKA SIO KILA AHADI UNATEGEMEA WACHINA, WAJAPAN N.K WAKIGOMA. WHY NOT KUTUMIA KILICHOPO AT LEAST 70% UKAITUMIA THEN HATA 30% UKIOOMBA TUNAONA RWANDA NA KENYA, SIMPLE

TUSIPOBADILIKA GHARAMA ZILIZOTUMIKA TUTAZIRUDISHA CC WENYEWE, MAFUTA YATAPANDA MPAKA 2500 per lita, MAEGESHO YATAPANDA MPAKA 1500, TUJIFUNZE.

Let us think on this opinion.

Elimu ya uraia mwaka huu imefanya kazi kwani hata waliohongwa na hata watakaohongwa tayari wanajua hongo yao haiwaondolei shida za kudumu. Na hata CCM wanajua hawana uwezo wa kuwahonga wote na sasa subirini muone maajabu mwaka huu. Amin usiamini wale unaowategemea ndiyo watakaoiangusha CCM.
 
Elimu ya uraia mwaka huu imefanya kazi kwani hata waliohongwa na hata watakaohongwa tayari wanajua hongo yao haiwaondolei shida za kudumu. Na hata CCM wanajua hawana uwezo wa kuwahonga wote na sasa subirini muone maajabu mwaka huu. Amin usiamini wale unaowategemea ndiyo watakaoiangusha CCM.

Bila kusahau kubaki umbali wa mita kadhaa kutoka kituoni kulinda mtu yeyote asiyehusika na uchaguzi kutoingia kituoni.Ni siku moja tu,hata kama matokeo yatatangazwa saa kumi usiku ni kusubiri tu.Siku hii ni ya thamani sana,tukicheza kidogo tu tutalia miaka mitano.

Tuhamasishane kujitokeza kwa wingi kupiga kura.Tuwaambie watu "kura hazitaibwa,tutakuwepo pale mpaka matokeo yatangazwe.."maana wengine huwa hawapigi kura kwa sababu wanajua hata wakipiga ni kazi bure kwa kuwa kura zataibwa tu.
 
Back
Top Bottom