tofali
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 4,010
- 3,419
Mmh
Kuna mtu namjua hajakiki tin..kafika nje ya tra kalipia max malipo..
Kufika ndani kawaambia nimefata stika ....aliyekuwepo akuliza ulishalipa ..ndio...haya nipe risiti akatoa akaprintiwa stika yake..
Hakuamini...hajaulizwa chochote kuhusu uhakiki...
Sas sielewi hawa tra
Kuna mtu namjua hajakiki tin..kafika nje ya tra kalipia max malipo..
Kufika ndani kawaambia nimefata stika ....aliyekuwepo akuliza ulishalipa ..ndio...haya nipe risiti akatoa akaprintiwa stika yake..
Hakuamini...hajaulizwa chochote kuhusu uhakiki...
Sas sielewi hawa tra