mimi nipo jkt,ya tcu yakanikuta natakiwa kuomba chuo kwa mara nyingine bt huku 2metingwa na kaz nyng ikanibd m2 aniombee stefano moshi universty It lakn m ckupenDa kuxoma IT,Hvyo nimeomba kuhamia sua lakn tcu hawajnijbu toka ijumaa jion,je watanihamisha au!,..nataka nihamie vetenary medcne au agricult-injinia ip n nzur kat ya hiz naomba ushaur.