KUHAMA KITUO CHA KAZI KWA MASHIRIKA YA UMA YA SERIKALI

KUHAMA KITUO CHA KAZI KWA MASHIRIKA YA UMA YA SERIKALI

Pjmazengo

Member
Joined
Dec 20, 2019
Posts
31
Reaction score
19
Wakuu mimi niko Mamlaka ya maji nawafikiria sana TRA, TBS, eGA, TCRA na TANAPA ni ICT afisa, nataka nipambanie uhamisho kwenye hizi taasisi ni ICT afficer II-SOFTWARE DEVELOPER(WEB) hii taasisi haifanyi software development kabsa zote zinafanywa na eGA, naomba msaada wa kiufundi watalam ili nifanikishe kirahisi
 
Wakuu mimi niko Mamlaka ya maji nawafikiria sana TRA, TBS, eGA, TCRA na TANAPA ni ICT afisa, nataka nipambanie uhamisho kwenye hizi taasisi ni ICT afficer II-SOFTWARE DEVELOPER(WEB) hii taasisi haifanyi software development kabsa zote zinafanywa na eGA, naomba msaada wa kiufundi watalam ili nifanikishe kirahisi
Check again TANAPA, wana programmers wameajiri miaka miwili iliyopita , lakin wanafanya kwa mifumo yao ya ndani. Si kila kitu ni cha ega
 
Wakuu mimi niko Mamlaka ya maji nawafikiria sana TRA, TBS, eGA, TCRA na TANAPA ni ICT afisa, nataka nipambanie uhamisho kwenye hizi taasisi ni ICT afficer II-SOFTWARE DEVELOPER(WEB) hii taasisi haifanyi software development kabsa zote zinafanywa na eGA, naomba msaada wa kiufundi watalam ili nifanikishe kirahisi
Check again TANAPA, wana programmers wameajiri miaka miwili iliyopita , lakin wanafanya kwa mifumo yao ya ndani. Si kila kitu ni cha ega
 
Check again TANAPA, wana programmers wameajiri miaka miwili iliyopita , lakin wanafanya kwa mifumo yao ya ndani. Si kila kitu ni cha ega
Nashukru mkuu, mi niliko nalipwa sh. 1.9 hamna safari na hamna posho, hiyo ni gross kabla ya mapato
 
Back
Top Bottom