Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Yani watu wankimbilia jeshini wewe unaogopa jeshini...MA MD kibao wana apply jeshi wewe unakimbia...?Yeah ni nzuri ila haipo in my heart,ukifananisha na engineer..yaani bro hapa sijaanza kusoma eng ila mpaka now nishajua kucode kidogo and other computer stuffs..na sina mpango wa kuajiriwa for sure na wazazi wangu anataka nisome udaktari ili aniingize jeshini alafu pia bro wangu ni computer engineer kwaiyo anataka mm niwe docta..hataki ma engineer wawili..when i look at my parents i can see how am going to disappoint them nikimaliza diploma ya C.O
Dingi ako ni mjanja sana..