Sam Seaborn
Member
- Aug 20, 2011
- 98
- 39
Jamani mimi nafkiria kununua shamba ili nihamie Arusha nikaishi kama farmer/settler kule kama wale wa Zimbabwe au Kenya
Je kuna maoni gani? Maeneo gani? nafkiria kununua shamba la eka kama 500 au 1000 hivi....
je kuna sehem ziko green kama hivi?
Je kuna maoni gani? Maeneo gani? nafkiria kununua shamba la eka kama 500 au 1000 hivi....
je kuna sehem ziko green kama hivi?