malemalisu
New Member
- Mar 11, 2022
- 3
- 2
Nimeona andiko kuhusu kuhamishwa kwa ofisi za tff kupelekwa mikoani tanga, je kutakuwa na tija kweli? ktk kupata huduma, mtu atoke songea aende tanga kweli? Au ndo maandalizi ya kumuweka mtu awe raisi wa maisha wa tff