Kuhani astahili pewa mkono, mashavu mawili na utumbo kwa kila sadaka ya ng' ombe inayoletwa madhabahu ya Bwana , tusiwaseme vibaya watumishi wa Bwana

Kuhani astahili pewa mkono, mashavu mawili na utumbo kwa kila sadaka ya ng' ombe inayoletwa madhabahu ya Bwana , tusiwaseme vibaya watumishi wa Bwana

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Hayo siyo maneno ni nukuu kutoka maandiko matakatifu

Muache kuwasema vibaya watumishi wa Mungu

Niombe tupigw hesabu kama ni Hela zinatolewa kama sadaka Kwa Kanuni hiyo hapo juu kuhani atastahili kupata asilimia ngapi ya sadaka

Niwatakie sabato njema

1 Makuhani Walawi, kabila yote ya Lawi, wasiwe na fungu wala urithi pamoja na Israeli; watakula sadaka za Bwana zifanywazo kwa moto, na urithi wake.

2 Wala wasiwe na urithi kati ya ndugu zao; Bwana ndiye urithi wao, kama alivyowaambia.

3 Na hii itakuwa haki ya makuhani kwa watu hao wasongezao sadaka, ikiwa ni ng'ombe au kondoo wampe kuhani mkono, na mashavu mawili, na tumbo.

4 Malimbuko ya nafaka zako, na divai yako, na mafuta yako, na manyoya ya kwanza ya kondoo zako, umpe.
Kumbukumbu la Torati 18:1-4
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hayo siyo maneno ni nukuu kutoka maandiko matakatifu

Muache kuwasema vibaya watumishi wa Mungu

Niombe tupigw hesabu kama ni Hela zinatolewa kama sadaka Kwa Kanuni hiyo hapo juu kuhani atastahili kupata asilimia ngapi ya sadaka

Niwatakie sabato njema

1 Makuhani Walawi, kabila yote ya Lawi, wasiwe na fungu wala urithi pamoja na Israeli; watakula sadaka za Bwana zifanywazo kwa moto, na urithi wake.

2 Wala wasiwe na urithi kati ya ndugu zao; Bwana ndiye urithi wao, kama alivyowaambia.

3 Na hii itakuwa haki ya makuhani kwa watu hao wasongezao sadaka, ikiwa ni ng'ombe au kondoo wampe kuhani mkono, na mashavu mawili, na tumbo.

4 Malimbuko ya nafaka zako, na divai yako, na mafuta yako, na manyoya ya kwanza ya kondoo zako, umpe.
Kumbukumbu la Torati 18:1-4
Umesha ambiwa ni walawi sio Hawa wabongo
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hayo siyo maneno ni nukuu kutoka maandiko matakatifu

Muache kuwasema vibaya watumishi wa Mungu

Niombe tupigw hesabu kama ni Hela zinatolewa kama sadaka Kwa Kanuni hiyo hapo juu kuhani atastahili kupata asilimia ngapi ya sadaka

Niwatakie sabato njema

1 Makuhani Walawi, kabila yote ya Lawi, wasiwe na fungu wala urithi pamoja na Israeli; watakula sadaka za Bwana zifanywazo kwa moto, na urithi wake.

2 Wala wasiwe na urithi kati ya ndugu zao; Bwana ndiye urithi wao, kama alivyowaambia.

3 Na hii itakuwa haki ya makuhani kwa watu hao wasongezao sadaka, ikiwa ni ng'ombe au kondoo wampe kuhani mkono, na mashavu mawili, na tumbo.

4 Malimbuko ya nafaka zako, na divai yako, na mafuta yako, na manyoya ya kwanza ya kondoo zako, umpe.
Kumbukumbu la Torati 18:1-4
Hivi leo hii hao makuhani ni akina nani?.Katika agano la kale Makuhani walitoka katika ukoo wa lawi,mtoto wa yakobo na hawakuruhusiwa kumiliki ardhi wala kujishughulisha na kazi yeyote isipokuwa kazi ya hekaluni.Ebu leta mfano wa Tanzania,makuhani ni akina nani?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hayo siyo maneno ni nukuu kutoka maandiko matakatifu

Muache kuwasema vibaya watumishi wa Mungu

Niombe tupigw hesabu kama ni Hela zinatolewa kama sadaka Kwa Kanuni hiyo hapo juu kuhani atastahili kupata asilimia ngapi ya sadaka

Niwatakie sabato njema

1 Makuhani Walawi, kabila yote ya Lawi, wasiwe na fungu wala urithi pamoja na Israeli; watakula sadaka za Bwana zifanywazo kwa moto, na urithi wake.

2 Wala wasiwe na urithi kati ya ndugu zao; Bwana ndiye urithi wao, kama alivyowaambia.

3 Na hii itakuwa haki ya makuhani kwa watu hao wasongezao sadaka, ikiwa ni ng'ombe au kondoo wampe kuhani mkono, na mashavu mawili, na tumbo.

4 Malimbuko ya nafaka zako, na divai yako, na mafuta yako, na manyoya ya kwanza ya kondoo zako, umpe.
Kumbukumbu la Torati 18:1-4
Kuhani Musa anataka tumuone kwa malaki ya pesa
 
Hivi leo hii hao makuhani ni akina nani?.Katika agano la kale Makuhani walitoka katika ukoo wa lawi,mtoto wa yakobo na hawakuruhusiwa kumiliki ardhi wala kujishughulisha na kazi yeyote isipokuwa kazi ya hekaluni.Ebu leta mfano wa Tanzania,makuhani ni akina nani?
Makuhani wa Sasa ni wachungaji, maaskofu, wainjilisti .
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hayo siyo maneno ni nukuu kutoka maandiko matakatifu

Muache kuwasema vibaya watumishi wa Mungu

Niombe tupigw hesabu kama ni Hela zinatolewa kama sadaka Kwa Kanuni hiyo hapo juu kuhani atastahili kupata asilimia ngapi ya sadaka

Niwatakie sabato njema

1 Makuhani Walawi, kabila yote ya Lawi, wasiwe na fungu wala urithi pamoja na Israeli; watakula sadaka za Bwana zifanywazo kwa moto, na urithi wake.

2 Wala wasiwe na urithi kati ya ndugu zao; Bwana ndiye urithi wao, kama alivyowaambia.

3 Na hii itakuwa haki ya makuhani kwa watu hao wasongezao sadaka, ikiwa ni ng'ombe au kondoo wampe kuhani mkono, na mashavu mawili, na tumbo.

4 Malimbuko ya nafaka zako, na divai yako, na mafuta yako, na manyoya ya kwanza ya kondoo zako, umpe.
Kumbukumbu la Torati 18:1-4
Hawa wakwenu hawana kitu kinaitwa apostolic succession. Yani hawajapakwa mafuta. Wamejiamkia huko maporini na nyie mnawaita makuhani.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hayo siyo maneno ni nukuu kutoka maandiko matakatifu

Muache kuwasema vibaya watumishi wa Mungu

Niombe tupigw hesabu kama ni Hela zinatolewa kama sadaka Kwa Kanuni hiyo hapo juu kuhani atastahili kupata asilimia ngapi ya sadaka

Niwatakie sabato njema

1 Makuhani Walawi, kabila yote ya Lawi, wasiwe na fungu wala urithi pamoja na Israeli; watakula sadaka za Bwana zifanywazo kwa moto, na urithi wake.

2 Wala wasiwe na urithi kati ya ndugu zao; Bwana ndiye urithi wao, kama alivyowaambia.

3 Na hii itakuwa haki ya makuhani kwa watu hao wasongezao sadaka, ikiwa ni ng'ombe au kondoo wampe kuhani mkono, na mashavu mawili, na tumbo.

4 Malimbuko ya nafaka zako, na divai yako, na mafuta yako, na manyoya ya kwanza ya kondoo zako, umpe.
Kumbukumbu la Torati 18:1-4
Ukichunguza kwa ndaaaaani. Mapadre na watawa ndio wanadumisha ile dhana ya ukuhani. Wanajikana na hawaruhusiwi kumilikinmali zao wenyewe. Huku kwenye free style mjipange.
 
Hivi leo hii hao makuhani ni akina nani?.Katika agano la kale Makuhani walitoka katika ukoo wa lawi,mtoto wa yakobo na hawakuruhusiwa kumiliki ardhi wala kujishughulisha na kazi yeyote isipokuwa kazi ya hekaluni.Ebu leta mfano wa Tanzania,makuhani ni akina nani?
Kuhani Mwamposya ni mjasiriamali wa maji ya chupa mafuta na mmiliki wa mahoteli na migahawa.
 
Back
Top Bottom